Kimataifa

Israel yaruhusu malori100 ya misaada kuingia Gaza

UMOJA wa Mataifa umethibitisha kuwa umepata kibali kutoka kwa Serikali ya Israel kuruhusu malori takribani 100 yaliyojaa misaada ya kibinadamu…

Soma Zaidi »

Ponyo ahukumiwa kifungo kwa ufisadi

WAZIRI Mkuu wa zamani wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), Augustin Matata Ponyo, amehukumiwa kifungo cha miaka 10 jela

Soma Zaidi »

Netanyahu awashutumu viongozi wa Ulaya kuhusu Gaza

WAZIRI Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu, amewashutumu viongozi wa Uingereza, Ufaransa na Canada kwa kile alichokiita “kuwapa Hamas zawadi kubwa”…

Soma Zaidi »

EU kutoa Euro bilioni 4 kuisaidia Misri

UMOJA wa Ulaya (EU) umepanga kutoa mkopo wa Euro bilioni 4 kwa ajili ya kuisaidia Misri kukabiliana na changamoto za…

Soma Zaidi »

Kamil Idris ateuliwa Waziri Mkuu mpya Sudan

MKUU wa Jeshi la Sudan, Jenerali Abdel Fattah al-Burhan, amemteua afisa wa zamani wa Umoja wa Mataifa, Kamil Idris, kuwa…

Soma Zaidi »

ICJ yaunga mkono Guinea ya Ikweta

MAHAKAMA ya Kimataifa ya Haki (ICJ) imeamua kuunga mkono upande wa Guinea ya Ikweta katika mzozo wa muda mrefu na…

Soma Zaidi »

Prof. Janabi achaguliwa Mkurugenzi WHO-Afrika

GENEVA — Kikao Maalum cha Pili cha Kamati ya Kanda ya Afrika ya WHO kilichofanyika leo Jumapili, Mei 18, 2025…

Soma Zaidi »

India yatuhumiwa kutaka kuishambulia Pakistan

ISLAMABAD: SERIKALI ya Pakistan imedai kuwa ina ushahidi wa kijasusi na wa kuaminika unaoonesha kuwa India inapanga kuishambulia katika muda…

Soma Zaidi »

UN yataka uchunguzi mauaji Mali

BAMAKO: WATAALAMU huru wa Umoja wa Mataifa wametoa wito kwa mamlaka za Mali kufanya uchunguzi wa haraka na wa kina…

Soma Zaidi »

Iran, Marekani kurejea kwenye mazungumzo

ROME : IRAN imetangaza kuwa inatarajia kurejea mezani na Marekani kwa mazungumzo kuhusu mpango wake wa nyuklia, yatakayofanyika mjini Rome,…

Soma Zaidi »
Back to top button