Kimataifa

Viongozi wapongeza kusitishwa kwa mapigano Gaza

QATAR : VIONGOZI mbalimbali wa dunia wapongeza makubaliano ya kusitisha mapigano Gaza na kuachiliwa kwa mateka ambayo yataanza kutekelezwa rasmi…

Soma Zaidi »

Raia wa China mbaroni kwa kuiba madini Congo

CONGO : RAIA watatu wa China wamehukumiwa kifungo cha miaka 7 jela na kuamriwa kulipa faini ya dola 600,000 kwa…

Soma Zaidi »

Hatimaye Rais Yoon Suk akamatwa

KOREA KUSINI : RAIS wa Korea Kusini, Yoon Suk Yeol, amekamatwa leo, na kuweka historia kama rais wa kwanza aliye…

Soma Zaidi »

Hamas yakubali rasimu ya kusitisha mapigano Gaza

QATAR : KUNDI la Hamas limekubali rasimu ya makubaliano ya kusitisha vita katika ukanda wa Gaza na kuachiliwa huru kwa…

Soma Zaidi »

Qatar yafikia hatua za mwisho ya mazungumzo ya Gaza

DOHA : QATAR ambayo ndio mpatanishi mkuu katika mazungumzo ya kumaliza vita vya Gaza na kuwachiliwa mateka yamefikia leo hatua…

Soma Zaidi »

Mambo yameanza makombora yajaribiwa

KOREA KUSINI : SERIKALI ya Korea Kusini imesema kuwa Korea Kaskazini imefyatua makombora ya majaribio ya masafa mafupi kuelekea baharini,…

Soma Zaidi »

Trump kukutana Putin baada ya kuapishwa

MAREKANI : RAIS mteule wa Marekani Donald Trump amesema atakutana na Rais wa Urusi Vladimir Putin  haraka iwezekanavyo baada ya…

Soma Zaidi »

Moto Los Angeles waua watu 24

MAREKANI: IDADI ya watu waliokufa kutokana na moto wa nyika ulioanza tangu Januari 7 huko Los Angeles, Marekani, imefikia 24.…

Soma Zaidi »

Mjadala bado mzito Gaza

QATAR: WAPATANISHI wa Marekani na mataifa ya Kiarabu wamepiga hatua kubwa kuelekea makubaliano ya kusitisha mapigano kati ya Israel na…

Soma Zaidi »

Kaya elfu tatu zakimbia makazi Sudan

SUDAN : SHIRIKA la Uhamiaji la Umoja wa Mataifa (IOM) limetangaza kuwa maelfu ya watu wameukimbia mji wa Um Rawaba…

Soma Zaidi »
Back to top button