Kimataifa

Israel yashambulia Taasisi za Hezbollah

LEBANON : JESHI la Israel limefanya mashambulizi ya anga yaliyolenga taasisi ya fedha inayodaiwa kuhusika kwa ufadhili wa silaha za…

Soma Zaidi »

Mapigano yameanza upya Congo

CONGO :  MAPIGANO yamezuka tena kati ya waasi wa M23 na wanamgambo wanaoungwa mkono na serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia…

Soma Zaidi »

Moldova kujiunga EU bado kitendawili

MOLDOVA : KURA ya maoni iliyopigwa nchini Moldova ya mabadiliko ya katiba haijaonyesha ushindi wa kuruhusu nchi hiyo kujiunga na…

Soma Zaidi »

Gachagua aondolewa haki ya ulinzi

KENYA : ALIYEKUWA Makamu wa Rais wa Kenya, Rigathi  Gachagua ameondolewa  haki ya ulinzi na usalama. Akithibitisha hilo, Gachagua amesema…

Soma Zaidi »

WHO yatangaza hakuna malaria Misri

MISRI : MKUU wa Shirika la Afya Duniani – WHO, Tedros  Adhanom ametangaza ugonjwa wa malaria Misri utabaki kuwa historia…

Soma Zaidi »

Jeshi lasitisha usafirishaji nafaka

NIGER : UTAWALA  wa kijeshi nchini Niger umepiga marufuku mauzo ya nje ya nchi ya nafaka kwa nchi zote isipokuwa…

Soma Zaidi »

Marburg yapungua Rwanda

RWANDA : MAAMBUKIZI ya virusi vya ugonjwa wa  Marburg nchini Rwanda yamepungua baada ya watu waliokuwa  hatarini kuanza kupatiwa chanjo.…

Soma Zaidi »

Urusi kujadiliwa uvamizi Ukraine

BERLIN : RAIS wa Marekani Joe Biden amewasili mjini Berlin  kwa  ziara ya kikazi kujadili uvamizi wa Urusi dhidi ya…

Soma Zaidi »

Rais Ruto amteua Kindiki kuwa naibu rais

RAIS wa Kenya, William Ruto amemteua Profesa, Kithure Kindiki kuwa naibu rais akichukuwa nafasi ya Rigathi Gachagua, ambaye aliondolewa madarakani…

Soma Zaidi »

Maseneta wamfuta kazi Naibu Rais Kenya

NAIROBI, Kenya – Bunge la Seneti nchini Kenya limepiga kura kumuondoa kazini Naibu Rais wa Taifa hilo, Rigathi Gachagua. Wabunge…

Soma Zaidi »
Back to top button