Kimataifa

Maseneta waendelea na hoja kumuondoa naibu rais

BUNGE la Seneti leo Alhamis limeppiga kura kuendelea na kesi ya kumuondoa Naibu Rais Rigathi Gachagua bila yeye kuwepo bungeni.…

Soma Zaidi »

Wakimbizi Sudan wako hatarini

ETHIOPIA : Imeelezwa kuwa mapigano yanayoendelea kati ya vikosi vya Shirikisho vya Ethiopia na wanamgambo kaskazini mwa magharibi nchini humo…

Soma Zaidi »

Rigath Gachagua awahishwa hospitali

NAIBU Rais wa Kenya, Rigath Gachagua amewahishwa hospitali mara baada ya kuumwa gafla wakati Bunge la Seneti likitarajia kusikiliza kesi…

Soma Zaidi »

Watu 140 wageuka majivu Nigeria

NIGERIA : ZAIDI ya watu 140 wakiwemo watoto wamefariki dunia nchini Nigeria baada ya lori la kusafirisha mafuta ya petroli…

Soma Zaidi »

Maandamano yatikisa Msumbiji

MSUMBIJI : VIKOSI  vya ulinzi nchini Msumbiji vimefyatua risasi ili kutawanya mamia ya wafuasi wa mgombea urais wa upinzani Venancio…

Soma Zaidi »

Upungufu wa maji kuongezeka

MAREKANI : TUME ya Kimataifa ya Uchumi wa Maji- GCEW, imesema tatizo la upatikanaji wa maji litaongezeka na kitasababisha nusu…

Soma Zaidi »

Mpango wa Zelensky kutangazwa

BRUSSELS : RAIS wa Ukraine Volodymyr Zelenskiy amepanga kuwasilisha mpango  wa ushindi kwa Umoja wa Ulaya na Jumuiya ya Kujihami…

Soma Zaidi »

Naibu Rais Gachagua kikaangoni leo

KENYA : BUNGE la Seneti nchini Kenya limeanza kusikiliza kesi inayomkabili Naibu Rais Rigathi Gachagua. Hapo jana, Jaji wa Mahakama…

Soma Zaidi »

Ukame wazidi Kusini mwa Afrika

MAREKANI: SHIRIKA la Mpango wa Chakula Duniani (WFP) limewatahadharisha  mamilioni ya watu wanaoishi katika ukanda wa Kusini mwa Afrika kujihadhari…

Soma Zaidi »

Uchunguzi wa uhalifu Kongo kuanza upya

UHOLANZI : MWENDESHA mashtaka wa ICC Karim Khan amesema ataanzisha upya uchunguzi wa madai ya uhalifu uliofanyika tangu mwaka 2022,…

Soma Zaidi »
Back to top button