Bunge

Tanzania ina madaktari bingwa wazalendo 2,469

Tanzania ina madaktari bingwa wazalendo 2,469, Bunge limeelezwa. Naibu Waziri wa Afya, Dk Godwin Mollel ametoa kauli hiyo leo bungeni…

Soma Zaidi »

Serikali: Gunia ni kifungashio sio kipimo

DODOMA; Serikali imesema haitambui gunia kuwa kipimo bali ni kifungashio, Bunge limeelezwa. Kauli hiyo imetolewa leo Septemba 6, 2023 na…

Soma Zaidi »

‘Mali ziuzwe kufidia waliopigana Vita ya Dunia’

DODOMA; ASKARI waliopigana Vita Kuu ya Pili ya Dunia walikuwa 737, kati yao 57 wapo hai na 680 wamefariki, Bunge…

Soma Zaidi »

Sh Mil 200 zatengwa miundombinu mabweni

DODOMA; SERIKALI imesema mwaka 2023/2024, imetenga kiasi cha Shilingi Milioni 200 kwa ajili ya kukamilisha ujenzi wa mabweni, ili kuunga…

Soma Zaidi »

Spika ataka utaratibu ajira wanaojitolea kazini

SPIKA wa Bunge Dk. Tulia Ackson ameitaka serikali itafute utaratibu wa mpito wakati ikijipanga kwa ajili ya wafanyakazi wanaojitolea lakini…

Soma Zaidi »

Spika atoa maekezo waathirika matrekta ya Ursus

DODOMA; SPIKA wa Bunge, Dk Tulia Ackson ametoa maelekezo kwa serikali kuchambua na kubainisha makundi mbalimbali ya wakulima walioathirika kutokana…

Soma Zaidi »

Simba, Yanga zatajwa mabadiliko mawaziri

SPIKA wa Bunge, Dk Tulia Ackson amewataka mawaziri waliopumzishwa katika Baraza la Mawaziri wasiwe na wasiwasi, kwani hiyo ni hali…

Soma Zaidi »

Bunge lampongeza Naibu Waziri Mkuu

BUNGE la Tanzania limempongeza Naibu Waziri Mkuu, Dk. Dotto Biteko kwa kuteuliwa kushika wadhifa huo. Akitoa pongezi hizo bungeni mjini…

Soma Zaidi »

Shangwe zatawala Naibu Waziri Mkuu bungeni

SHANGWE zimetawala bungeni, wakati Naibu Waziri Mkuu, Dk Dotto Biteko alipokuwa akiingia bungeni leo mjini Dodoma baada ya kuapishwa Ijumaa…

Soma Zaidi »

Mbunge alia na kero ya popo Dar

MBUNGE wa Viti Maalum,William Mgaya amehoji bungeni ni lini serikali itaondoa popo waliopo maeneo ya Upanga, Dar es Salaam ili…

Soma Zaidi »
Back to top button