Bunge

Serikali yafafanua utaratibu mgonjwa anayekosa dawa

DODOMA; Wizara ya Afya imevielekeza vituo vya kutolea huduma za afya kuweka utaratibu wa mgonjwa kupata dawa iliyokosekana hospitali aliyotibiwa,…

Soma Zaidi »

Mkongo wa mawasiliano kujengwa Sikonge-Inyonga

DODOMA; SERIKALI imesema imeendelea kutenga fedha kwa ajili ya ujenzi na uendelezaji wa Mkongo wa Taifa wa Mawasiliano kwa kuwa…

Soma Zaidi »

‘Wekezeni michezo ya ufukweni’

DODOMA; SERIKALI imetoa rai kwa wadau wa michezo mbalimbali kama mitumbwi na ngalawa, kuogelea, mpira wa kikapu na wavu kuwekeza…

Soma Zaidi »

Taarifa ya mabadiliko yaduwaza wabunge

RAIS Samia Suluhu Hassan, leo amefanya mabadiliko madogo kwenye Baraza lake la Mawaziri. Sasa ipo hivi wakati taarifa hiyo ikisambaa…

Soma Zaidi »

Muswada wa marekebisho sheria mbalimbali wapitishwa

DODOMA;BUNGE limepitisha Muswada wa Sheria ya Marekebisho ya Sheria Mbalimbali (Na.2) wa Mwaka 2023, uliowasilishwa mapema asubuhi leo na Mwanasheria…

Soma Zaidi »

Wadau zaidi wahamasishwa mfumo wa m-mama

SERIKALI imewaalika mashirika binafsi ikiwemo watoa huduma wa mawasiliano na wadau mbalimbali wa maendeleo kushirikiana na serikali katika utekelezaji wa…

Soma Zaidi »

Spika atoa maelekezo uwekezaji bandarini

DODOMA; SPIKA wa Bunge Dk. Tulia Ackson amewataka wabunge kuendelea kusikiliza maoni mbalimbali yanayotolewa na wananchi kuhusua suala la uwekezaji…

Soma Zaidi »

‘Hatua zinachukuliwa kulinda thamani ya shilingi’

SERIKALI imesema inaendelea kuchukua hatua mbalimbali kulinda thamani ya shilingi ya Tanzania. Akijibu swali la Mbunghe wa Mbogwe, Nicodemus Maganga…

Soma Zaidi »

Mwigulu: Hesabu za CAG ni za uhakika

SERIKALI imesema hesabu zinazowasilishwa na CAG kila mwaka ni uhakika. Waziri wa Fedha, Dk Mwigulu Nchemba, ametoa kauli hiyo bungeni…

Soma Zaidi »

Ugumu mikopo wanaotoka shule binafsi wahojiwa

Mbunge wa Viti Maalum Sophia Mwakagenda amehoji kuhusu ugumu wa upatikanaji wa mikopo kwa wanafunzi waliosoma shule binafsi wanapojiunga na…

Soma Zaidi »
Back to top button