Bunge

Sh Bil 200 kukabili mafuriko Dar

DODOMA; SERIKALI inafanya usanifu na utambuzi wa maeneo kwa ajili ya ujenzi wa mifereji na mito yenye urefu wa kilomita…

Soma Zaidi »

‘Tutaendelea kuelimisha kanuni mpya ya kikokotoo’

SERIKALI imesema inaendelea na mpango wa kuwaelimisha wananchi hususani waajiri na wanachama wa Mifuko ya Pensheni wakiwemo wastaafu kuhusu faida…

Soma Zaidi »

Tulia azidi kung’ara mbio Urais mabunge duniani

WABUNGE wa Jumuiya ya Maendeleo ya Nchi za Kusini mwa Afrika (SADC) wamempitisha Spika wa Bunge la Tanzania, Dk Tulia…

Soma Zaidi »

Malimbikizo ya michango yalipwe kabla Sept 30

WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amewataka waajiri kutuza kumbukumbu za malipo ya michango ya waajiriwa pamoja na kulipa malimbikizo ya michango…

Soma Zaidi »

Atoa mtazamo katiba mpya, aeleza sababu kutofukuza wabunge 19

SPIKA wa Bunge, Dk Tulia Ackson amesema anaendelea kuwaacha wabunge 19 wanaodaiwa kufukuzwa katika Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema)…

Soma Zaidi »

Aipongeza serikali utekelezaji hoja za CAG

SPIKA wa Bunge, Dk Tulia Ackson amesema katika miezi saba serikali imetekeleza asilimia 48 ya maagizo ya Bunge yaliyotolewa kuhusu…

Soma Zaidi »

Mikoa mitano kunufaika kufutwa kwa Hifadhi ya Taifa Kigosi

BUNGE limepitisha na kuridhia Azimio la serikali la kufuta Hifadhi ya Taifa Kigosi ili kuruhusu kuanzishwa kwa Hifadhi ya Msitu…

Soma Zaidi »

EAC yataja vipaumbele 10 vya bajeti EALA

JUMUIYA ya Afrika Mashariki (EAC) imetaja vipaumbele 10 vya Bunge la Afrika Mashariki (EALA) katika kipindi cha Mwaka wa Fedha…

Soma Zaidi »

Bunge lapitisha Bajeti Kuu ya Serikali

Bunge la Tanzania limepitisha rasmi Bajeti ya serikali ya mwaka wa fedha 2023/2024 kwa kura 354 ambayo ni  sawa 95%.…

Soma Zaidi »

Serikali yaagiza tathmini ujenzi kituo cha afya Mtwango

SERIKALI imetaka kufanyika tathmini ili kufahamu mahitaji kwa lengo la kuanza mchakato wa ujenzi wa kituo cha afya katika kata…

Soma Zaidi »
Back to top button