Chaguzi

RC Kigoma ahamamisha wananchi uchaguzi mitaa

MKUU wa Mkoa Kigoma, Thobias Andengenye amewata wananchi wa mkoa huo kujitokeza kujiandikisha kwenye daftari la wakaazi kwa ajili ya…

Soma Zaidi »

Waomba kusogezewa vituo kujiandikisha uchaguzi

WAFANYABIASHARA wa soko la Manundu na watumiaji wa stendi ya Kijazi wilayani Korogwe wamemuomba Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Dk…

Soma Zaidi »

Mchengerwa-Hakuna vituo bandia uandikishaji

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa-TAMISEMI-Mohamed Mchengerwa amesema taarifa zinazosambaa mitandaoni kuhusu uwepo…

Soma Zaidi »

Dk Mpango ashiriki kujiandikisha Buhigwe

MAKAMU wa Rais Dk Philip Mpango na Mwenza wake Mama Mbonimpaye Mpango wameshiriki zoezi la Uandikishaji kwenye Daftari la Wapiga…

Soma Zaidi »

Dk Biteko ajiandikisha uchaguzi mitaa

NAIBU Waziri Mkuu, Waziri wa Nishati na Mbunge wa Bukombe, Dk Dotto Biteko Ijumaa ya Oktoba 11, 2024 ameshiriki zoezi…

Soma Zaidi »

Bukoba waitwa kujiandikisha uchaguzi mitaa

KAGERA: MKUU wa Wilaya Bukoba, Erasto Sima amewahimiza wakazi wa wilaya hiyo kujitokeza kwa wingi katika zoezi la kujiandisha kwenye…

Soma Zaidi »

Wananchi Morogoro wajiandikisha uchaguzi mitaa

WANANCHI katika baadhi ya mitaa ya Manispaa ya Morogoro wamejitokeza siku ya kwanza ya kujiandikisha katika vituo vya wapiga kura…

Soma Zaidi »

Satura: Wasanii hamasisheni uchaguzi mitaa

MKURUGENZI wa Halmashauri ya Manispaa ya Temeke Jomaary Satura amewahimiza wasanii wa manispaa hiyo kutumia mitandao yao ya kijamii kuwahamasisha…

Soma Zaidi »

Uboreshaji daftari wapiga kura kuzinduliwa leo

KIGOMA: Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Julai 20, 2024 anazindua uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura, katika uwanja…

Soma Zaidi »

Uzinduzi uboreshaji daftari la wapiga kura wasogezwa mbele  

TUME Huru ya Uchaguzi Tanzania (INEC) imetangaza kusogezwa mbele kwa uzinduzi wa uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura…

Soma Zaidi »
Back to top button