Chaguzi

Wagombea mitaa kutwaa fomu Oktoba 26

KUANZIA Oktoba 26 hadi Novemba 1 mwaka huu wagombea wa ngazi mbalimbali za Serikali za Mitaa wanatakiwa kujitokeza kuchukua fomu…

Soma Zaidi »

Janeth Rithe ajiandikisha uchaguzi mitaa

Mwenyekiti wa Ngome ya Wanawake Chama cha ACT Wazalendo, Janeth Rithe amejiandikisha kupiga kura katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa,…

Soma Zaidi »

RC Sendiga awahimiza Wahadzabe uchaguzi mitaa

MKUU wa Mkoa wa Manyara, Queen Sendiga ameihimiza jamii ya Wahadzabe inayoishi kijiji cha Mongo-Wa-Mono wilayani Mbulu kujiandikisha katika daftari…

Soma Zaidi »

Kiongozi ACT ajiandikisha uchaguzi mitaa

KIONGOZI wa Chama Cha ACT Wazalendo, Dorothy Semu amejiandikisha kupiga kura kwenye uchaguzi wa Serikali za Mitaa. Zoezi hilo limefanyika…

Soma Zaidi »

Abdul Nondo ajiandikisha daftari za mkazi

MWENYEKITI wa Ngome ya Vijana ya Chama cha ACT-Wazalendo, Abdul Nondo leo Oktoba 20 amejiandikisha katika daftari la mkazi kwa…

Soma Zaidi »

Uchaguzi mitaa kutoa viongozi bora

SERIKALI imesema itahakikisha uchaguzi wa Serikali za Mitaa unakuwa jumuishi na shirikishi Ili kupata viongozi bora ambao watakaoweza kushirikiana katika…

Soma Zaidi »

Wanafunzi Geita wahimizwa ubalozi uchaguzi mitaa

WANAFUNZI wa shule za sekondari mkoani Geita wamehimizwa kuwa mabalozi wa kuwahamasisha na kuwaelimisha wazazi wao faida za kujiandikisha na…

Soma Zaidi »

CWT wahamasisha kujiandikisha uchaguzi mitaa

CHAMA cha Walimu Tanzania (CWT) kimehamasisha wananchi kushiriki uchaguzi wa Serikali za Mitaa ikiwa ni pamoja na kujitokeza kwa wingi…

Soma Zaidi »

Aweso ahimiza uchaguzi serikali za mitaa

MBUNGE wa Jimbo la Pangani kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Jumaa Aweso amesema Tanzania ni nchi ya kidemokrasia hivyo uchaguzi…

Soma Zaidi »

Asilimia 95.9 Ngorongoro wajiandikisha uchaguzi

MSIMAMIZI wa uchaguzi wilayani Ngorongoro, Murtallah Mbillu amesema kuwa wilaya hiyo tangu zoezi la uandikishaji lilipoanza hadi kufikia jana wameandikisha…

Soma Zaidi »
Back to top button