Diplomasia

Mkulima Ihemi amkamata Kakakuona

MKULIMA wa kijiji cha Ihemi wilayani Iringa Asajile Mwanjala juzi amemkamata mnyama aina ya Kakakuona anayeaminika kufanya utabiri wa mambo…

Soma Zaidi »

Rais Samia mwenyeji mkutano wakuu wa nchi Afrika

Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuwa mwenyeji wa Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Afrika kuhusu Rasilimali Watu…

Soma Zaidi »

China, Tanzania kuimarisha ulinzi

SERIKALI ya Tanzania na Jamhuri ya Watu wa China zitaendelea kushirikiana kupambana na vitisho vyote vya usalama katika kuimalisha ulinzi…

Soma Zaidi »

Maadhimisho Miaka 96 ya Jeshi la Ukombozi China

LEO Jamhuri ya Watu wa China inaadhimisha miaka 96 ya Jeshi la Ukombozi, sherehe zinazofanyika Ubalozi wa China jijini Dar…

Soma Zaidi »

Tanzania, Malawi kuimarisha ushirikiano

RAIS Samia Suluhu Hassan ameahidi kuimarisha ushirikiano kati ya Tanzania na Malawi kwa kuwa nchi hizo ni ndugu wa damu.…

Soma Zaidi »

Rais Samia awasili Malawi

Rais wa Tanzania  Samia Suluhu Hassan, akiwa na Rais wa Malawi Dk Lazarus McCarthy Chakwera, mara baada ya kuwasili katika…

Soma Zaidi »

Balozi: Bomba la mafuta ni shukrani kwa Tanzania

BALOZI wa Uganda nchini, Fred Mwesigye amesema ujenzi wa bomba la mafuta kutoka Hoima nchini humo kwenda Chongoleani mkoani Tanga, ni…

Soma Zaidi »

Dk Salim kupewa tuzo Kigoda cha Nyerere

MWANADIPLOMASIA mashuhuri nchini, Balozi Salim Ahmed Salim anatarajia kupokea tuzo ya Kigoda cha Mwalimu Nyerere na Umajimui wa Kiafrika yenye…

Soma Zaidi »

Wafanyabiashara madini kutembelea China

WAFANYABIASHARA wadogo na wa kati wa madini nchini Tanzania wanatarajia kufanya ziara nchini China Julai 2023, kwa lengo la kutafuta…

Soma Zaidi »

Tanzania yafungua rasmi ubalozi Indonesia

SERIKALI ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imefungua rasmi ubalozi wake jijini Jakarta nchini Indonesia. Akizungumza katika hafla ya uzinduzi…

Soma Zaidi »
Back to top button