Diplomasia

Mambo yaiva ziara Makamu wa Biden

WIZARA ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki imesema Makamu wa Rais wa Marekani, Kamala Harris anatarajiwa kuwasili…

Soma Zaidi »

Ummy afanya mazungumzo na balozi Marekani

WAZIRI wa Afya, Ummy Mwalimu amekutana na Balozi wa Marekani nchini, Dk Michael Battle ambapo wawili hao wamezungumza mambo mbalimbali…

Soma Zaidi »

Balozi wa Tanzania azuru Shandong

BALOZI wa Tanzania nchini China, Mbelwa Kairuki leo Alhamisi ameanza ziara katika jimbo la Shandong nchini humo. Mwanadiplomasia huyo anafanya…

Soma Zaidi »

Bil 2.34/- za China kuendeleza utalii Hifadhi ya Kilimanjaro

SERIKALI ya China na Tanzania zimetiliana saini mkataba wa Dola za Kimarekani milioni moja sawa na Sh bilioni 2.34 kusaidia…

Soma Zaidi »

Tanzania yajiunga tena IFACCA

TANZANIA imejiunga tena uanachama wa Shirikisho la Kimataifa la Mabaraza ya Sanaa na Mashirika ya Utamaduni (IFACCA) kupitia Baraza la…

Soma Zaidi »

Rais Samia aanza ziara Afrika Kusini

RAIS wa Tanzania,Samia Suluhu Hassan amewasili mji wa Pretoria kwa ajili ya kuanza ziara rasmi ya kiserikali nchini Afrika Kusini…

Soma Zaidi »

Tanzania, Namibia zasaini hati za ushirikiano

TANZANIA na Namibia zimesaini hati za makubaliano ya ushirikiano katika masuala ya usalama, mishati na mashauriano ya kisiasa na kidiplomasia.…

Soma Zaidi »

Tanzania yafungua rasmi ubalozi Namibia

SERIKALI ya Tanzania kupitia Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki imefungua rasmi Ofisi za Ubalozi wa…

Soma Zaidi »

Marekani yawapongeza Samia, Mbowe

BALOZI wa Marekani nchini Tanzania, Michael Battle amewapongeza Rais Samia Suluhu Hassan na Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo…

Soma Zaidi »

Mpango: NAM tushirikiane biashara, majanga

MAKAMU wa Rais, Dk Philip Mpango amehimiza Nchi Zisizofungamana na Upande Wowote (NAM) ziendelee kuongeza ukuaji wa kiuchumi kwa kushirikiana…

Soma Zaidi »
Back to top button