Diplomasia

Zanzibar, ufilipino kushirikiana ‘uchumi wa buluu’

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema Zanzibar ina mengi ya kujifunza uzoefu…

Soma Zaidi »

Dk Tax ahudhuria mkutano Mawaziri AU

WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dk Stergomena Tax, ameongoza ujumbe wa Tanzania katika Mkutano wa…

Soma Zaidi »

Ujumbe mfuko wa uwekezaji China, Afrika kutua nchini

Ujumbe wa Mfuko wa Uwekezaji wa China na Afrika (CADFUND) unatarajiwa kufanya ziara nchini Tanzania mnamo Aprili, 2023. Ahadi hiyo…

Soma Zaidi »

Dk Tax atoa pole Uturuki

WAZIRI  wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dkt. Stergomena Tax  amesaini kitabu cha maombolezo Ubalozi wa Uturuki…

Soma Zaidi »

Waziri wa Nishati Zambia atembelea gesi asilia

KATIBU Mkuu wa Wizara ya Nishati nchini Zambia Mhandisi Himba Cheelo amefanya ziara ya kikazi kutembelea mitambo ya kupokelea GESI…

Soma Zaidi »

Tanzania, India kufungua fursa mpya biashara

TANZANIA na India zimeonesha dhamira ya kufanya kazi kwa karibu kutafuta njia bora za kufungua fursa mpya za biashara na…

Soma Zaidi »

‘Fuateni sheria na taratibu mkiwa nje ya nchi’

Serikali imewataka Watanzania kuzingatia na kufuata sheria, kanuni na taratibu za nchi walizopo ili kulinda taswira nzuri ya nchi yao.…

Soma Zaidi »

Mwenyekiti TPSF ateta na Spika Bunge la India

MWENYEKITI wa Taasisi ya Sekta Binafsi Tanzania (TPSF), Angelina Ngalula amesema biashara kati ya Tanzania na India inatarajiwa kufikia dola…

Soma Zaidi »

Kinana, Dercon, Concar wateta

MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara Kanali Mstaafu Abdulrahman Kinana, amekutana na kufanya Mazungumzo na, Prof. Stefan…

Soma Zaidi »

Miradi 630 ya uwekezaji yasajiliwa TIC

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema katika mwaka wa fedha 2021/2022 miradi mipya ya uwekezaji 630 yenye thamani ya Dola za…

Soma Zaidi »
Back to top button