Diplomasia

Watanzania wanaosoma China waonywa ulevi, ‘unga’

UBALOZI wa Tanzania nchini China, umewataarifu wanafunzi wote wa Tanzania wanaosoma nchini humo kuwa mipaka iko wazi na wanaweza kurejea…

Soma Zaidi »

Balozi Possi ataja fursa masoko Ujerumani

BALOZI wa Tanzania nchini Ujerumani, Dk Abdallah Possi amesema wafanyabiashara wa Tanzania wana fursa ya kuuza mbogamboga na matunda katika…

Soma Zaidi »

Makamu wa Rais Uganda avutiwa Makumbusho Dar

MAKAMU  wa Rais wa Uganda,  Jessica Alupo, ametembelea Makumbusho ya Taifa jijini Dar es Salaam  na kuahidi kurudi tena, ili…

Soma Zaidi »

Ubalozi wataka maelezo Mtanzania aliyepigwa China

UBALOZI wa Tanzania nchini China, umeitaka serikali ya mji wa Xian kutoa maelezo juu ya tukio lililotokea jana Septemba 12,…

Soma Zaidi »

Tanzania yashiriki mkutano Baraza la Haki za Binadamu Uswisi

MKUTANO wa 51 wa Baraza la Haki za Binadamu unaendelea Geneva, Uswisi, huku ujumbe kutoka Tanzania unaongozwa na Katibu Mkuu…

Soma Zaidi »

Wadau wakubali hatua za Rais Samia maombolezo Malkia Elizabeth

WACHAMBUZI wa masuala ya kidiplomasia na kisiasa wamesema Rais Samia Suluhu Hassan amefanya jambo muhimu kutangaza siku tano za maombolezo…

Soma Zaidi »

Kikwete asifu kikosi kazi cha demokrasia

RAIS Mstaafu wa Awamu ya Nne, Jakaya Kikwete amempongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa uamuzi wa kuunda kikosi kazi cha…

Soma Zaidi »

‘Serikali haikusitisha vibali usafirishaji mazao nje’

SERIKALI imesema haijasitisha utoaji wa vibali vya kusafi risha mazao ya chakula nje ya nchi kama ilivyoripotiwa na baadhi ya…

Soma Zaidi »

Tanzania, Denmark kushirikiana kilimo, Uchumi wa Buluu

Katika jitihada za kukuza na kuendeleza diplomasia ya uchumi, Serikali za Tanzania na Denmark zimeahidi kuendelea kushirikiana katika sekta za…

Soma Zaidi »

Rais Samia aomboleza kifo cha Malkia Elizabeth II

Rais Samia Suluhu Hassan, leo amesaini kitabu cha maombolezo kufuatia Kifo cha Malkia Elizabeth II (96) wa Uingereza,  aliyefariki dunia…

Soma Zaidi »
Back to top button