Maisha ya Vijijini

Mtemi wa Wagogo adai ana uwezo wa kuita mvua

MTEMI Yassin Biringi wa Dodoma Makulu, amedai miongoni mwa vitu alivyoachiwa ni mawe ya tambiko yanayotumika kuita mvua pale zinapochelewa,…

Soma Zaidi »

Wakulima Kongwa wakabidhiwa trekta 15

MKUU wa Wilaya ya Kongwa mkoani Dodoma, Remidius Emmanuel amekabidhi trekta 15 kwa wakulima wilayani humo katika hafla fupi iliyoandaliwa…

Soma Zaidi »

‘Wekeni mazingira mazuri ya biashara EAC’

MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM),Tanzania Bara, Abdulrahman Kinana, amesema  umefika wakati kwa mamlaka mbalimbali za serikali kuweka mazingira…

Soma Zaidi »

Kinana akemea ukabila CCM Kigoma

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimekemea udini, ukabila na ukanda kwa wanachama wake wanaowania uongozi na kuagiza mtu wa aina hiyo…

Soma Zaidi »

Wanafunzi Handeni, Mkinga kupewa chakula bure shuleni 

WANAFUNZI 28,110 waliopo Wilaya za Handeni na Mkinga, wanatarajia kunufaika na mpango wa utoaji wa chakula  cha mchana shuleni. Mpango…

Soma Zaidi »

Wataka gongo idhibitiwe inachochea ubakaji

WANAWAKE katika Kata ya Mamire wilayani Babati mkoani Manyara wamesema vitendo vya ubakaji kwenye maeneo yao vimekuwa vikisababishwa na matumizi…

Soma Zaidi »

Sensa muhimu katika katika kukuza uchumi

HATUA ya serikali kuimarisha afya ya mama na mtoto na kupunguza idadi ya vifo vya uzazi, kuongeza ujenzi wa zahanati,…

Soma Zaidi »

Dk Chana ataka ubunifu TFS

WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Balozi Dk Pindi Chana amewaasa Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) kuongeza ubunifu na…

Soma Zaidi »

Makarani sensa hatarini kufungwa miezi sita

SERIKALI imeonya makarani wa sensa ya watu na makazi waache kupiga picha na wananchi wanapoifanya kazi hiyo. Mtakwimu Mkuu wa…

Soma Zaidi »

Kiwanda cha bil 725/- kutoa ajira 7,655

MWEKEZAJI Jack Feng kutoka China anatarajia kuwekeza dola za Marekani zaidi ya milioni 311 (takribaniSh  bil 725) katika mradi wa…

Soma Zaidi »
Back to top button