Zanzibar

Dk Biteko: Wazanzibari ni wakarimu sana

UNGUJA, Zanzibar: NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dk Doto Biteko amesema tangu amefika visiwani Zanzibar, amevutiwa na ukarimu,…

Soma Zaidi »

Zanzibar kujenga bandari ya kisasa

UNGUJA, Zanzibar: RAIS wa Zanzibar Dk Hussein Ali Mwinyi amesema ujenzi wa bandari mpya ya abiria eneo la Mpiga Duri…

Soma Zaidi »

Dk Mwinyi adhamiria kumaliza changamoto katika elimu

ZANZIBAR: RAIS wa Zanzibar, Dk Hussein Ali Mwinyi amesema Serikali inakaribia kumaliza ujenzi wa madarasa 5,000 kuondoa zamu mbili kwa…

Soma Zaidi »

Serikali Zanzibar yaanzisha kituo elimu mjumuisho

ZANZIBAR, Serikali ya Zanzibar imeendelea kuweka kipaumbele kwa watu wenye ulemavu kwa kuweka msisitizo katika kuboresha mazingira ya elimu kwa…

Soma Zaidi »

Wabuni boti ya plastiki, kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi

UNGUJA, Zanzibar: BOTI ya chupa za plastiki ni moja ya kivutio kinachopatikana ndani ya Kisiwa cha Unguja, Zanzibar. Boti hii,…

Soma Zaidi »

Biteko awataka wananchi kuyaenzi Mapinduzi

ZANZIBAR: NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk Doto Biteko ametoa wito kwa wananchi kuendelea kuyaenzi, kuyalinda na kuyaishi…

Soma Zaidi »

Dk Mwinyi: Kiwanda cha mwani mageuzi makubwa kiuchumi

ZANZIBAR: RAIS wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi amesema ujenzi wa kiwanda cha kusarifu na kuongeza thamani ya mwani ni sehemu…

Soma Zaidi »

Tani 9.5 za Karafuu za magendo zadakwa

ZANZIBAR: RAIS wa Zanzibar Dk Hussein Ali Mwinyi amefanya ziara ya kushtukiza katika Bandari ya Wete na kushuhudia tani 9.5…

Soma Zaidi »

Dk Mwinyi ajivunia kuvuka lengo utekelezaji miradi

ZANZIBAR: RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk Hussein Ali Mwinyi amejivunia miaka mitatu ya Serikali ya…

Soma Zaidi »

Ajira 1,500 za walimu posho nono

PEMBA, Zanzibar: RAIS wa Zanzibar, Dk Hussein Ali Mwinyi amesema Serikali imejenga skuli za kisasa za ghorofa mijini na vijijini…

Soma Zaidi »
Back to top button