Year: 2022

Afya

Taasisi ya Kuwait yaiahidi makubwa JKCI

TAASISI ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) imesema Shirika la Children’s Heart Charity Association la Kuwait limeahidi kuboresha tiba za kibingwa…

Soma Zaidi »
Tanzania

Mil 120/- zatumika kuboresha kituo cha kuchakata takwimu 

SERIKALI ya Korea Kusini kupitia Taasisi ya Takwimu (KOSTAT) imetumia Sh milioni 120 kuboresha kituo cha kuchakata takwimu nchini. Kamisaa…

Soma Zaidi »
Chaguzi

UCHAGUZI CCM: Karamagi aibuka kidedea Kagera

Aliyewahi kuwa Waziri wa Nishati na Mbunge wa Bukoba Vijijini mwaka 2005-2010 Naziri Karamagi ameibuka kidedea ametangazwa kuwa mshindi katika…

Soma Zaidi »
Jamii

Asilimia 40 ya wanawake wamefanyiwa ukatili

ASILIMIA 40 ya wanawake wenye umri wa miaka 15 hadi 49 wamefanyiwa ukatili wa kimwili au kingono mara moja au…

Soma Zaidi »
Tanzania

Polisi yateketeza silaha haramu 6208

JESHI la Polisi nchini limeteketeza silaha haramu 6,208 ambazo zilikusanywa wakati wa kampeni maalum ya wananchi kusalimisha silaha hizo. Naibu…

Soma Zaidi »
Michezo na Burudani

Ronaldo aondoka Man U

Manchester United imefikia makubaliano ya kuvunja mkataba na Cristiano Ronaldo. Iliripotiwa wiki iliyopita kuwa United walikuwa wameanza mchakato wa kisheria…

Soma Zaidi »
Podcast

HABARI KUU: Nov. 22, 2022

Mkusanyiko wa habari kuu zilizotufikia katika chumba cha HabariLEO Novemba 22, 2022

Soma Zaidi »
Utalii

Serikali yaagiza kampeni kurejesha uoto wa asili

SERIKALI imeagiza kila mkoa kuhakikisha unaanzisha kampeni maalumu yakutengeneza mazingira ya ukijani kwa kuweka mikakati madhubuti ya kurejesha uoto wa…

Soma Zaidi »
Afya

Serikali yatahadharisha mtumizi holela ya antibiotiki

SERIKALI imetahadharisha matumizi mabaya ya dawa za antibiotiki ambazo zinasababisha usugu wa vimelea dhidi ya dawa, ikionya hatari ya kutokea…

Soma Zaidi »
Afya

Asilimia 76 ya watanzania hawapigi mswaki

ASILIMIA 76.5 ya Watu wazima Tanzania wameoza meno kutokana na kutopiga mswaki. Akizungumza na HabariLeo leo Novemba 22, 2022, Mkurugenzi…

Soma Zaidi »
Back to top button