Year: 2023

Tanzania

Tanzania yashika nafasi ya nne usalama wa anga

TANZANIA kushika nafasi ya nne Afrika kwenye masuala ya usalama wa anga kwa kupata alama 86.7 ikitanguliwa na Nigeria, Kenya…

Soma Zaidi »
Michezo na Burudani

Kajala: Mungu amejibu maombi

DAR ES SALAAM: Mrembo kutoka tasnia ya filamu nchini Frida Kajala ameeleza kuwa anamshukuru Mungu kwa kujibu maombi yake alimuomba…

Soma Zaidi »
Madini

Dk Biteko afunga semina IRENA

NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk Doto Biteko amefunga semina ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati…

Soma Zaidi »
Jamii

Kinana: Maisha ni hadithi

ARUSHA: Makamu Mwenyekiti wa CCM, Tanzania Bara,Abdulrahman Kinana amesema maisha ni hadithi hivyo ukitaka kuandika maisha yako uwe na mambo…

Soma Zaidi »
Kimataifa

Aliyembusu mchezaji afungiwa miaka mitatu

RAIS wa zamani wa Chama cha Soka Uhispania (RFEF), Luis Rubiales amepigwa marufuku kujihusisha na soka kwa miaka mitatu. Agosti…

Soma Zaidi »
Tanzania

IAA yaja na mikakati mipya

MWENYEKITI wa Baraza la Uongozi la Chuo Cha Uhasibu Arusha (IAA) Dk Mwamini Tulli amezindua rasmi Kamati ya Ushauri wa…

Soma Zaidi »
Zanzibar

Dk Mwinyi: Kongole Vikosi vya SMZ

ZANZIBAR: RAIS wa Zanzibar, Dk Hussein Ali Mwinyi amevipongeza vikosi vya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) kwa kazi kubwa…

Soma Zaidi »
Michezo na Burudani

Roy Kean: Bruno avuliwe unahodha

KUMEKUCHA huko Manchester, mkongwe wa zamani wa Manchester United, Roy Keane anataka kiungo wa timu hiyo, Bruno Fernandez avuliwe unahodha.…

Soma Zaidi »
Afya

Sh milioni 400 zapeleka Neema Nyang’hwale

GEITA: SERIKALI imetumia kiasi cha Sh milioni 486 kununua vifaa vya kisasa mahususi kwa ajili ya kutolea huduma za afya…

Soma Zaidi »
Tanzania

Tanzania yavutiwa na faida Mkataba wa Irena

DODOMA: NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk Doto Biteko amesema Tanzania ikijiunga na Wakala wa Kimataifa wa Nishati…

Soma Zaidi »
Back to top button