Year: 2023

Tanzania

Majaliwa atoa maagizo Saba TCAA

DAR ES SALAAM: WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa ametoa maelekezo saba kwa Mamlaka ya Usafiri wa Anga (TCAA) ikiwemo Bodi ya…

Soma Zaidi »
Michezo na Burudani

Ahmed aibeza Azam aukubali mziki wa Yanga

DAR ES SALAAM: “Azam hawezi kutufikia tena, mpinzani aliyebaki ni Yanga ambaye na yeye tunataka kumfunga na kumpita kwa alama…

Soma Zaidi »
Michezo na Burudani

Phiri yupo sana Simba – Ahmed

MENEJA wa Habari na Mawasiliano wa Klabu ya Simba, Ahmed Ally amezima tetesi za mshambuliaji Moses Phiri kutaka kujiunga na…

Soma Zaidi »
Michezo na Burudani

Simba kuiwinda Yanga, viingilio vyatajwa

SIMBA SC kesho wataingia kambini kujiandaa na mchezo wa Ligi Kuu dhidi watani wao Yanga SC, mchezo utakaopigwa Jumapili hii…

Soma Zaidi »
Kimataifa

Watu 13 wapoteza maisha ajali ya treni India

WATU 13 wamepoteza maisha na wengine zaidi 50 kujeruhiwa baada ya treni mbili kugongana Kusini Mashariki mwa India, maafisa wamesema…

Soma Zaidi »
Jamii

Gwajima avalia njuga ubakaji ufukweni

DAR ES SALAAM: WAZIRI wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Dk Doroth Gwajima amesema kuna haja ya…

Soma Zaidi »
Fursa

Chuo cha DMI kuja kivingine

ITALIA: CHUO cha Bahari Dar es Salaam (DMI) kimesaini Hati ya Makubaliano (MoU) ya kubadilishana uzoefu katika mafunzo ya ubaharia…

Soma Zaidi »
Tanzania

Mambo 10 kukabili mabadiliko tabianchi Afrika

KUTOKANA na mabadiliko ya tabianchi sasa kumekuwa na mabadiliko duniani. Yanayoshuhudiwa zaidi ni ongezeko la joto, ukame, mafuriko, kubadilika kwa…

Soma Zaidi »
Tanzania

Nyimbo za injili zihubiri maadili

KAIMU Katibu Tawala Mkoa wa Mtwara Nanjiva Mzunda amewata waimbaji wa nyimbo za injili mkoani humu  kuimba nyimbo ambazo zinatoa…

Soma Zaidi »
Tanzania

RC Mndeme awachana Wakandarasi

SHINYANGA: MKUU wa Mkoa wa Shinyanga Christina Mndeme ameitaka kampuni ya Sinohydro Company Limited iliyopewa kandarasi ya kujenga mradi wa…

Soma Zaidi »
Back to top button