Year: 2023

Picha

Maelezo ya RC Manyara kwa Rais Samia

RAIS Samia Suluhu Hassan akimsikiliza Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Queen Sendiga akielezea kuhusiana na athari za mafuriko yaliyotokea katika…

Soma Zaidi »
Jamii

Samia amfariji aliyepoteza watoto 2

MANYARA; Rais Samia Suluhu Hassan akimfariji muathirika wa mafuriko yaliyotokea Katesh, Salome Elifuraha ambaye amelazwa katika Hospitali ya Wilaya ya…

Soma Zaidi »
Sayansi & Teknolojia

DIT wajipanga kurusha satelaiti mwaka 2024

DAR ES SALAAM; TAASISI ya Teknolojia Dares Salaam (DIT), imesema kufikia 2024 wataweza kurusha satelaiti nchini, ikiwa ni hatua inayotokana…

Soma Zaidi »
Jamii

Watakiwa kulinda vyanzo vya maji

KAGERA; Baadhi ya wananchi wa Kata ya Chanika wilayani Karagwe, mkoani Kagera wameiomba serikali kuwaondoa watu waliovamia vyanzo vya maji…

Soma Zaidi »
Tanzania

Lita 14,500 zatolewa kurahisisha ufanisi Hanang

MANYARA; Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga, kwa Niaba ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko…

Soma Zaidi »
Tanzania

Wajivunia mafanikio usalama wa anga

DAR ES SALAAM: TANZANIA imeadhimisha Siku ya Usafiri wa Anga Kimataifa kwa kufanya maandamano ya kujivunia usalama uliopo katika anga…

Soma Zaidi »
Michezo na Burudani

Wawa aiponza Singida FG

KLABU ya Singida Fountain Gate FC sasa haitaweza kusajili mchezaji mpya mpaka itakapomlipa aliyekuwa beki wa timu hiyo, Pascal Wawa…

Soma Zaidi »
Jamii

Waweka nguvu upandaji miti

KATAVI; Tanganyika. Halmashauri ya Wilaya Tanganyika Mkoa wa Katavi, leo imeanza maadhimisho ya siku ya Uhuru kwa kupanda miti 1000…

Soma Zaidi »
Kimataifa

Waziri Uingereza ajiuzulu

LONDON: WAZIRI wa Uhamiaji wa Uingereza, Robert Jenrick amejiuzulu nafasi hiyo jana jioni kwa madai kuwa rasimu ya sheria ya…

Soma Zaidi »
Infographics

Mayele, Benchika wapenya orodha ya mwisho CAF

CAIRO, Misri: MSHAMBULIAJI wa zamani wa klabu ya Yanga anayekipiga Pyramids ya nchini Misri, Fiston Mayele ameingia tatu bora ya…

Soma Zaidi »
Back to top button