Year: 2023

Jamii

Mavunde atangaza Neema kwa Mafundi Dodoma

DODOMA: MBUNGE wa Jimbo la Dodoma Mjini Anthony Mavunde ameahidi kuwatafutia fursa za kandarasi mafundi wa Dodoma kushiriki katika ujenzi…

Soma Zaidi »
Kimataifa

Mvua zasababisha vifo vya watu 15

NAIROBI: Takriban watu 15 wamekufa nchini Kenya kutokana na mafuriko yaliyosababishwa na mvua kubwa inayoendelea kunyesha maeneo mbalimbali  Afrika Mashariki.…

Soma Zaidi »
Sayansi & Teknolojia

Ukiwa na Nida tu umemaliza kila kitu

DAR ES SALAAM: SERIKALI kupitia Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari (HMTH) imesaini mkataba wa zaidi ya Sh…

Soma Zaidi »
Michezo na Burudani

Johari: Wasanii wadogo kazeni buti

MWIGIZAJI wa filamu, Blandina Chagula, ‘Johari’ amewataka wasanii wachanga kujituma kutimiza ndoto zao. Akizungumza na HabariLeo jijini Dar es Salaam,…

Soma Zaidi »
Africa

Wanajeshi 60, maafisa magereza wafutwa kazi Guinea

GUINEA imewafuta kazi zaidi ya wanajeshi 60 na maofisa magereza baada ya kiongozi wa zamani wa kijeshi Moussa Dadis Camara…

Soma Zaidi »
Africa

Watu 14 wafa, maelfu wamekwama mafuriko Somalia

WATU 14 wamekufa na zaidi ya 47,000 kukwama kwenye matope na maji kufuatia mvua kubwa iliyonyesha katika jimbo la Jubbaland…

Soma Zaidi »
Kimataifa

Makombora yaua watu 20 soko Sudan

ZAIDI ya watu 20 wameuawa na wengine kadhaa kujeruhiwa baada ya makombora kurushwa katika soko la Omdurman kitongoji cha mji…

Soma Zaidi »
Kimataifa

Makamu wa rais Ghana kugombea urais

CHAMA tawala cha New Patriotic Party (NPP) kutoka nchini Ghana kimemteua Makamu wa Rais, Mahamudu Bawumia kuwa mgombea wa uchaguzi…

Soma Zaidi »
Tanzania

“Afrika Mashariki waige kwa waliofanikiwa”

NCHI za Afrika Mashariki zinaweza kujifunza kutoka kwenye nchi nyingine zilizofanikiwa kwa kuiga ujuzi wanaoutumia. Mkurugenzi Mkazi wa Taasisi ya…

Soma Zaidi »
Jamii

Vijana wafundwa, sasa kuja kivingine kwenye jamii

DAR ES SALAAM: Mkuu wa Itifaki na Uongozi wa Tanzania, Balozi Yusuph Mndolwa amesema  mafunzo kwa Maofisa Itifaki vijana yanayotolewa…

Soma Zaidi »
Back to top button