Year: 2024

Featured

Bil 24/- kutekeleza miradi ya maendeleo Nantumbo

RUVUMA: RAIS Samia Suluhu Hassan ametoa jumla ya Sh bilioni 24 kwa ajaili ya kutekeleza miradi ya maendeleo katika Wilaya…

Soma Zaidi »
Biashara

Serikali yaahidi mazingira bora ya biashara, uwekezaji

SERIKALI imeahidi kuendelea kuboresha mazingira ya biashara na uwekezaji ili kuchochea ukuaji wa sekta mbalimbali kama Utalii, Kilimo, Madini, Viwanda,…

Soma Zaidi »
Tanzania

Serikali yaendelea kusogoza huduma za kisheria Arusha

MWANASHERIA Mkuu wa Serikali (AG) ,Hamza Johari amesema kukamilika kwa jengo la ofisi ya kanda pamoja na ofisi ya Mwanasheria…

Soma Zaidi »
Wanawake

“Teknolojia imeleta aina mpya ya ukatili”

KUONGEZEKA kwa matumizi ya mitandao ya kijamii kumeleta aina mpya ya ukatili dhidi ya wanawake hasa wakati huu kuelekea uchaguzi…

Soma Zaidi »
Biashara

Tume Maboresho ya Kodi yasheheni wabobezi kutimiza malengo

UUNDAJI wa Tume ya Rais ya Marekebisho ya Kodi uliofanywa na Rais Samia Suluhu Hassan ni hatua muhimu na ya…

Soma Zaidi »
Biashara

Majaliwa afungua kongamano la maendeleo ya biashara, uchumi

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa leo Novemba 22 anamwakilisha Rais Dk Samia Suluhu Hassan katika ufunguzi wa kongamano la tano ya…

Soma Zaidi »
Afya

Bil 26/-kujenga MUHAS kampasi ya Kigoma

SHILINGI bilioni 26 zinatarajiwa kutumika katika ujenzi wa Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS) Kampasi ya Kigoma…

Soma Zaidi »
Featured

Simba, Pamba hesabu tofauti

SIMBA itakuwa ugenini leo kuikabili Pamba Jiji kwenye mchezo wa Ligi Kuu Tan zania Bara, Uwanja wa CCM Kirumba, Mwanza.…

Soma Zaidi »
Siasa

‘Chadema itasimamia mikopo ya asilimia 10’

MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mkoa wa Shinyanga, Emmanuel Ntobi amesema wananchi wachague viongozi wanaotokana na chama…

Soma Zaidi »
Biashara

BoT yafungia ‘taasisi’ 69 mikopo kidijiti

BENKI Kuu ya Tanzania (BoT) imezifungia programu tumizi 69 zilizokuwa zikitumika kutoa mikopo kidijiti. Gavana wa BoT, Emmanuel Tutuba ameeleza…

Soma Zaidi »
Back to top button