Year: 2024

Bunge

Mradi EBARR wafikia asilimia 95 Zanzibar

NAIBU Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Khamis Hamza Khamis amesema Mradi wa Kuhimili Mabadiliko ya Tabianchi…

Soma Zaidi »
Madini

Uwekezaji mkubwa sekta ya madini mapato yaongezeka

“Serikali imefanya uwekezaji mkubwa katika Sekta ya Madini, tumenunua mitambo mikubwa, mitano imeshafika nchini, kumi ipo njiani inakuja, mitambo hii…

Soma Zaidi »
Kimataifa

Trump kufutiwa mashtaka

MAREKANI : WIZARA ya Sheria nchini Marekani  kwa kushirikiana na mwendesha mashtaka maalum,Jack Smith wako katika majadiliano kuhusu jinsi ya…

Soma Zaidi »
Featured

Bil 2/- kufikisha umeme wa jua Bukoba, Muleba

SERIKALI kupitia Wakala wa Umeme Vijijini (REA) itatumia Sh bilioni 2.1 kufikisha umeme wa jua katika visiwa vya Ziwa Victoria…

Soma Zaidi »
Tanzania

Wananchi Mtwara kupewa elimu kupinga rushwa

TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa ( TAKUKURU ) mkoani Mtwara imeandaa mkakati maalum wa kuwaelimisha wananchi kuhusu vitendo…

Soma Zaidi »
Featured

Bil 19/- kusambaza umeme vitongojini Tabora

WAKALA wa Nishati Vijijini (REA) unatekeleza mradi wa Shilingi Bilioni 19 wa kusambaza umeme katika vitongoji 180 utakaonufaisha kaya 5,940…

Soma Zaidi »
Featured

Geita waunda timu kukabiliana na mafuriko

MKUU wa Wilaya ya Geita, Hashimu Komba ameunda timu ya wataalamu itakayofanya ukaguzi na kutoa mapendekezo ya kukabiliana na mafuriko…

Soma Zaidi »
Tanzania

Mbegu bora za mahindi kupungua bei

WAAGIZAJI , wasambazaji na mawakala waliosajiliwa kufanya biashara ya kupeleka mbegu maalum za ruzuku mkoani Manyara wameagizwa kufuata miongozo ya…

Soma Zaidi »
Featured

Utafiti kusaidia mapambano ya njaa ifikapo 2030

Serikali imepanga kufanya utafiti wa kina katika sekta za kilimo, uvuvi, na ufugaji ili kufikia malengo ya maendeleo endelevu ya…

Soma Zaidi »
Tanzania

Magereza washauri malezi bora watoto wa kiume

JESHI la Magereza limewashauri wazazi kuanza kubadilisha mwelekeo wa makuzi na malezi kwa kuweka nguvu kubwa kuwalinda watoto wa kiume…

Soma Zaidi »
Back to top button