Year: 2024

Featured

Maandalizi CHAN 2025, AFCON 2027 yapamba moto

WAZIRI wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Dk Damas Ndumbaro amekagua miundombinu ya michezo katika uwanja wa Shule Kuu ya Sheria…

Soma Zaidi »
Michezo na Burudani

Mwakinyo atamba kumpasua mtoto wa mtu

BONDIA Hassan Mwakinyo ametangaza ujio wa pambano lake Novemba 16, mwaka huu la kutetea mkanda wa Afrika wa WBO huku…

Soma Zaidi »
Tanzania

Qatar charity fungueni matawi Tanzania

QATAR : RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi leo ametembelea kituo kikubwa cha…

Soma Zaidi »
Kimataifa

Raia Gaza waingia hofu kusitishwa UNRWA

PALESTINA : RAIA wanaoishi katika ukanda wa Gaza wanahofu juu ya upatikanaji wa misaada ya kibinadamu baada ya Israel kusitisha…

Soma Zaidi »
Featured

Rais Samia kuhudhuria mjadala Marekani

RAIS Dk Samia Suluhu Hassan anatarajia kuondoka nchini leo Oktoba 29 kuelekea Des Moines, lowa, nchini Marekani kuhudhuria Mjadala wa…

Soma Zaidi »
Michezo na Burudani

Diddy afunguliwa mashtaka mapya

MAREKANI : RAPA maarufu wa hip pop nchini Marekani Sean Diddy Combs anakabiliwa na mashataka mapya ya kuwadhalilisha  wavulana wawili…

Soma Zaidi »
Kimataifa

Hezbollah yapata kiongozi mpya

LEBANON : HEZBOLLAH imetangaza kuwa Naibu Katibu Mkuu wa Kundi hilo, Naim Qassem  atakuwa kiongozi wa Hezbollah. Naim Qassem anachukua…

Soma Zaidi »
Tanzania

TNGP yawataka wanawake kushiriki uchaguzi mitaa

MTANDAO wa Jinsia Tanzania (TGNP) umetoka wito kwa waandishi wa habari kuandika habari za kuhamasisha wanawake kushiriki na kijitokeza kugombea…

Soma Zaidi »
Zanzibar

Qatar kuiuzia Tanzania mbolea ya urea

QATAR : RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Hussein Ali Mwinyi leo amekutana na kufanya mazungumzo…

Soma Zaidi »
Diplomasia

Rais Samia ahutubia Mkutano wa 11 wa Merck

Soma Zaidi »
Back to top button