Year: 2026

Tanzania

CCM kuzingatia mgawanyo walimu sekondari Kahasa

MWANZA: KATIBU wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Kenani Kihongosi amesema atahakikisha mgawanyo wa walimu…

Soma Zaidi »
Afya

‘Kuna ongezeko kubwa wagonjwa wa figo nchini’

DAR ES SALAAM : Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH)  imeadhimisha siku ya Figo Duniani inayofanyika Alhamisi ya pili ya…

Soma Zaidi »
Featured

Samia kuzindua mfuko kuwezesha vijana sekta ubunifu

ARUSHA; WIZARA ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo imetangaza kuzindua rasmi Mfuko wenye jumla ya Sh Bilioni 50 kwa ajili…

Soma Zaidi »
Diplomasia

Tanzania, Uganda kuimarisha ushirikiano sekta mbalimbali

DAR ES SALAAM; KATIKA jitihada za kuimarisha uhusiano wa kidiplomasia na kukuza maendeleo ya pamoja ukanda wa Afrika Mashariki, serikali…

Soma Zaidi »
Dini

Idd kitaifa Dar, Samia mgeni kwenye Baraza

DAR ES SALAAM: SHEREHE za Sikukuu ya Eid el-Fitri zinatarajiwa kuwa  Machi 20 au 21. 2026 kutegemea mwandamo wa mwezi.…

Soma Zaidi »
Afya

‘Serikali imeanza ujenzi wodi mpya 35 za watoto’

DAR ES SALAAM; NAIBU Waziri wa Afya,Dk Florence Simizi, amesema serikali imeanza hatua ya utekelezaji wa ujenzi wodi mpya 35…

Soma Zaidi »
Jamii

Programu kuharakisha mfumo ubunifu yazinduliwa

DAR ES SALAAM; TUME ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) kwa kushirikiana na Sahara Ventures, imezindua rasmi programu ya…

Soma Zaidi »
Jifunze Kiswahili

Jifunze Kiswahili

Waridi Maana (Meaning in English):Waridi ni ua zuri lenye harufu nzuri.Kwa Kiingereza huitwa rose. Asili (Origin): Neno waridi lina asili…

Soma Zaidi »
Jamii

Polisi wanawake Geita waipa tano Magereza Chato

GEITA; MTANDAO wa Polisi Wanawake (PFT-NET) mkoa wa Geita, umeeleza kuridhishwa na kuunga mkono programu ya ustadi, uwezo na maarifa…

Soma Zaidi »
Uchumi

‘Timiza Fund imekuwa chachu ya mafanikio’

DAR ES SALAAMM; Ofisa Mtendaji Mkuu (CEO) wa Zan Securities Limited, Raphael Masumbuko, amesema uwekezaji wa pamoja umeanza kuwa chachu…

Soma Zaidi »
Back to top button