Brighiter Masaki

Jamii

Dk Tulia Ackson mgeni rasmi siku ya mtoto wa kike duniani

DSM: SPIKA wa Bunge Dk.Tulia Ackson anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika kuazimisha siku ya mtoto wa Kike duniani kesho Oktoba…

Soma Zaidi »
Tanzania

Uwanja wa Ndege wa Julius Nyerere mambo mazuri

DAR ES SALAAM: SERIKALI imetoa wito kwa mashirika ya ndege ya ndani na nje ya Tanzania kutumia Uwanja wa Ndege…

Soma Zaidi »
Tanzania

Waziri ashusha kibano TRC

KIGOMA; Waziri wa Uchukuzi Prof. Makame Mbarawa amelitaka Shirika la Reli nchini (TRC), kubadilisha mtazamo wa utendaji kazi wake, ili…

Soma Zaidi »
Fursa

Maonyesho ya bidhaa za kuku kufanyika Dar

DAR ES SALAAM: Chama cha wafuga kuku Tanzania (The Poultry Association of Tanzania) kimeandaa maonesho ya siku mbili ya bidhaa…

Soma Zaidi »
Afya

Kumenoga Mbogwe, Zahanati saba zafunguliwa

HALMASHAURI ya Wilaya ya Mbogwe imefungua vituo vya afya na Zahanati saba tayari kwa kuanza kutoa huduma wilayani hapo. Akizungumza…

Soma Zaidi »
Afya

Watoto 45 kufanyiwa upasuaji wa moyo

DAR ES SALAAM: WATOTO 45 wenye magonjwa ya moyo ya kuzaliwa nayo yakiwemo matundu kwenye moyo, na matatizo ya mishipa…

Soma Zaidi »
Siasa

Biteko ataka watumishi ubalozini wachape kazi

KAMPALA, Uganda: NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk Doto Biteko amesema Rais Samia Suluhu Hassan anataka kuona Tanzania…

Soma Zaidi »
Tanzania

Muswada sheria adhabu ya kifo kutua bungeni

DSM; WAZIRI wa Katiba na Sheria Balozi Dk Pindi Chana amesema Tanzania inathamini uhai wa kila mtu, ambapo muswada wa…

Soma Zaidi »
Tanzania

Mahakama yamuachia huru aliyehukumiwa miaka 30 kwa kubaka

K’NJARO; Moshi. MAHAKAMA Kuu Kanda ya Moshi, imemwachia huru na kumfutia adhabu ya kifungo cha miaka 30 jela, mshitakiwa Nickas…

Soma Zaidi »
Jamii

Wanaoenda kwa waganga kusaka utajiri waonywa

KIONGOZI wa kimila, jadi, asili na utamaduni kutoka himaya ya Nyarutambwe Manyovu mkoani Kigoma, Dk Fadhil Emil, amewataka vijana kwenda…

Soma Zaidi »
Back to top button