Baraka Messa

Afya

Wachinja Ng’ombe sita ufunguzi wa Zahanati

SONGWE: Wananchi wa Kijiji Cha Senga Kata ya Kamsamba wilayani Momba Mkoani Songwe wamechinja ng’ombe sita kusherekea kufunguliwa Zahanati inayotegemewa…

Soma Zaidi »
Michezo na Burudani

Waendesha Baiskeli 100 kushindana Arusha

ARUSHA: Waendesha Baiskeli 100 watachuana vikali katika mbio za mchezo huo ambazo zimepangwa kufanyika Oktoba Mosi jijini Arusha. Mashindano hayo…

Soma Zaidi »
Diplomasia

Historia Kuandikwa leo

DAR ES SALAAM: Leo Septemba 30, 2023 katika Kituo cha Kimataifa cha Mikutano (JNICC) katika Jiji la Dar es Salaam,…

Soma Zaidi »
Fursa

Askari Polisi wanawake watakiwa kuchangamkia fursa za elimu

DAR ES SALAAM: Kamishna wa Polisi Utawala Menejimenti ya rasilimali watu, CP Suzan Kaganda amewataka askari Polisi wanawake kuchangamkia fursa…

Soma Zaidi »
Safari

Mabasi sasa ruksa kusafiri saa 24

DSM; SERIKALI ya Tanzania imeruhusu mabasi ya abiria kufanya usafirishaji wa saa 24, baaada ya kujiridhisha kiusalama, mwamko wa wananchi,…

Soma Zaidi »
Jamii

Dk Biteko ataka kasi usambazaji umeme vijijini

KAGERA: NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dotto Biteko amemtaka mkandarasi anayetekeleza mradi wa REA 3 mzunguko wa pili…

Soma Zaidi »
Gesi

TPDC: Uzalishaji gesi Mnazi Bay unaendelea

MTWARA; SHIRIKA la Maendeleo ya Petroli Nchini (TPDC) limekanusha taarifa kuwa visima vitano vya kuzalisha gesi asilia katika Kitalu cha…

Soma Zaidi »
Afya

Ummy ataja sababu kubwa ongezeko magonjwa ya moyo

DAR ES SALAAM: WAZIRI wa Afya, Ummy Mwalimu ametaja sababu kubwa za kuongezeka kwa magonjwa ya moyo nchi huku akiwataka…

Soma Zaidi »
Jamii

TBA yajipanga kuwafikia wachimbaji wadogo geita

GEITA:WAKALA wa Majengo Tanzania (TBA) wamepanga kujenga nyumba za kupangisha mjini Geita ili kusaidia watumishi wa umma na wananchi wa…

Soma Zaidi »
Uchumi

TPA: Uwekezaji bandarini umejikita kiteknolojia

GEITA; MAMLAKA ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA), imebainisha kwamba uwekezaji unaoenda kufanyaika kwenye bandari unalenga kuboresha teknolojia na ufanisi…

Soma Zaidi »
Back to top button