Festo Polea

Kimataifa

Urusi yapeleka wakufunzi 100 wa kijeshi Niger

NIGER; WAKUFUNZI wa kijeshi wa Urusi wamewasili Niger wakiwa na mfumo wa ulinzi wa anga na vifaa vingine kama sehemu…

Soma Zaidi »
Kimataifa

Ujerumani yanasa vijana watatu kwa ugaidi

POLISI nchini Ujerumani wamewakamata vijana watatu kwa tuhuma za kupanga shambulizi la kigaidi. Kwa mujibu wa waendesha mashtaka nchini humo…

Soma Zaidi »
Jamii

Jengo la Yanga lasalimika bomoabomoa Mto Msimbazi

DAR ES SALAAM: Mkurugenzi wa Idara ya Habari (Maelezo) na Msemaji Mkuu wa Serikali, Mobhare Matinyi amesema jengo la Timu…

Soma Zaidi »
Jamii

‘Kufikia 2030 korosho ibanguliwe nchini’

MTWARA: SERIKALI imesema korosho zote zinazozalishwa katika mikoa mbalimbali inayolima zao hilo zitabanguliwa hapa nchini ifikapo mwaka 2030. Akizungumza mkoani…

Soma Zaidi »
Michezo na Burudani

Amorim: Liverpool ? hapana!

BAADA ya tetesi kuwa kocha wa Sporting Lisbon, Ruben Amorim amekubaliana na Liverpool kuifundisha msimu ujao, Mreno huyo amekanusha kuchukua…

Soma Zaidi »
Michezo na Burudani

FIFA yashusha rungu Yanga

DAR ES SALAAM: KLABU ya Yanga imefungiwa kufanya usajili kwa kukiuka kanuni za Shirikisho la Mpira wa Miguu Duniani (FIFA)…

Soma Zaidi »
Jamii

Mchengerwa atimiza ahadi Rufiji

RUFIJI; Mbunge wa Rufiji na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais – TAMISEMI, Mohamed Mchengerwa ametimiza ahadi yake kutoa Sh…

Soma Zaidi »
Michezo na Burudani

EPL kutumia teknolojia ya offside msimu ujao

LONDON, Ligi Kuu ya England maarufu Premier league itaanza kutumia teknolojia ya kung’amua kama mchezaji yupo kwenye eneo la kuotea…

Soma Zaidi »
Jamii

Polisi Nchi 14 kushiriki mafunzo ya pamoja

KILIMANJARO: Jeshi la Polisi Nchini, limesema linatalajia kuwa, mwenyeji wa tukio la mafunzo ya utayari kwa vitendo (Field Training Exercise…

Soma Zaidi »
Jamii

Takukuru wawezesheni watoto kujua athari za rushwa

TANGA: Kiongozi wa mbio za mwenge wa uhuru kitaifa Godfrey Mnzava ameiagiza Taasisi ya Kupambana na Rushwa, kuwekeza kwa wanafunzi…

Soma Zaidi »
Back to top button