Brighter Masaki

Muziki

Mr Blue: Mke wangu chanzo kuacha dawa za kulevya

DAR ES SALAAM; Msanii wa muziki Khery Sameer ‘Mr Blue’ ameweka wazi kuwa mke wake ndie aliemsaidia kuacha kutumia madawa…

Soma Zaidi »
Afya

Serikali, wadau kushirikiana huduma bora za afya

DAR ES SALAAM: Serikali kupitia Wizara ya Afya  itaendelea  kushirikiana na wadau wa maendeleo ili kuhakikisha kuwa huduma bora za…

Soma Zaidi »
Sanaa

“Wamiliki kumbi za starehe jisajilini mpate vibali”

DAR ES SALAAM: Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) limewataka wamiliki wa kumbi za starehe kujisajili na kupata kibali cha…

Soma Zaidi »
Jamii

“Wananchi washirikishwe kwenye miradi”

KIGOMA: Wakuu wa idara na watendaji wa Serikali katika  Halmashauri za Mkoa Kigoma wametakiwa kusimamia kikamilifu mpango wa ushirikishwaji wa…

Soma Zaidi »
Tanzania

Bodi TAWA yahimiza nidhamu kwa maofisa, askari

MARA: Bodi ya wakurugenzi Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (TAWA) ikiongozwa na Mwenyekiti wake Meja Jenerali (mstaafu) Hamis Semfuko…

Soma Zaidi »
Jamii

Aliyehamisha mto apewa siku 7 kuurejesha

KATAVI: Mkuu wa Wilaya ya Mpanda Mkoa wa Katavi, Jamila Yusuf ametoa siku saba kwa mwekezaji wa machimbo ya madini…

Soma Zaidi »
Michezo na Burudani

Benchikha aenda kwao

DAR ES SALAAM: Kocha wa Simba Abdelhak Benchikha ameondoka nchini leo kulekekea nyumbani kwao Algeria kwa ajili ya kozi ya…

Soma Zaidi »
Tanzania

Rais Samia aipongeza TSN

DAR ES SALAAM: Rais Samia Suluhu Hassan ameipongeza Kampuni ya Magazeti ya Serikali Tanzania (TSN) akisisitiza kuwa anaridhika na kazi…

Soma Zaidi »
Tanzania

Nape amtaka Katibu Mkuu kuongeza nguvu ujenzi TSN

DAR ES SALAAM: Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Nape Nnauye amemuelekeza Katibu Mkuu katika Wizara hiyo, Mohammed…

Soma Zaidi »
Tanzania

Serikali yakamilisha marekebisho Sheria ya Habari

DAR ES SALAAM: Serikali imesema imekamilisha mchakato wa marekebisho ya Sheria ya Huduma za Habari ya Mwaka 2016 na Kanuni…

Soma Zaidi »
Back to top button