Vicky Kimaro

Afya

Muhimbili yavuna mbavu, yatengeneza taya

DAR ES SALAAM: HOSPITALI ya Taifa ya Muhimbili (MNH) kwa mara ya kwanza imefanya upasuaji wa kutoa mfupa kwenye ubavu…

Soma Zaidi »
Michezo na Burudani

Goli moja tuu litatupeleka robo fainali-Ahmed

DAR ES SALAAM: Meneja Habari na Mawasiliano wa Klabu ya Simba Ahmed Ally amesema wamejiandaa kikamilifu kumnyoa Jwaneng Galaxy siku…

Soma Zaidi »
Afya

NHIF kufanya mapinduzi ya huduma za bima

DAR ES SALAAM: MFUKO wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) umetangaza kuboresha kitita cha huduma na bei ikiwemo kuongeza…

Soma Zaidi »
Jamii

Rais Samia amedhamiria kumtua Mama ndoo kichwani

MARA: Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema kuwa Rais Samia Suluhu Hassan amedhamiria kuendelea kutekeleza kampeni yake ya kumtua ndoo mama…

Soma Zaidi »
Michezo na Burudani

Twiga Stars ndio basi tena!

MPUMALANGA, Afrika Kusini: BAO la mshambuliaji wa timu ya taifa ya Wanawake ya Afrika Kusini, Thembi Gatlana katika dakika 58′…

Soma Zaidi »
Diplomasia

Waziri Mkuu wa Ethiopia kufanya ziara ya siku tatu

DODOMA: WAZIRI Mkuu wa Ethiopia, Dk Abiy Ahmed Ali anatarajiwa kuwasili nchini kwa ziara ya kitaifa ya siku tatu kuanzia…

Soma Zaidi »
Michezo na Burudani

Jwaneng watua kumvaa mnyama

DAR ES SALAAM: KLABU ya Jwaneng Galaxy ya nchini Botswana imetua nchini salama kupitia Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa…

Soma Zaidi »
Biashara

Wanunuzi wa Pamba wampa 5 Rais Samia Mradi wa BBT

SIMIYU: Chama cha wanunuzi wa pamba nchini (TCA) kimemshukuru Rais Samia Suluhu Hassan, kwa kuanzisha mradi wa Jenga kesho iliyo…

Soma Zaidi »
Afya

Wagonjwa 40 kubadilishwa nyonga siku 5

DAR ES SALAAM: JUMLA ya wagonjwa 40 wanatarajiwa kufanyiwa upasuaji wa kubadilisha nyonga katika kambi maalum ya matibabu iliyoanza Februari…

Soma Zaidi »
Uchumi

“Tanzania imepiga jeki uchumi nchi za Kusini mwa Jangwa la Sahara”

DAR ES SALAAM: TANZANIA imekua kitovu cha uwekezaji na kusababisha ukuaji wa uchumi katika nchi za Kusini mwa Jangwa la…

Soma Zaidi »
Back to top button