LISALA, DR Congo

Kimataifa

Watu 17 wafa maporomoko ya udongo Lisala

WATU 17 wameuawa katika maporomoko ya udongo huko DR Congo. – Maafa hayo yalitokea usiku wa kuamkia Jumapili karibu na…

Soma Zaidi »
Tanzania

Nguvu ya pamoja yatakiwa maadili kwa watoto

MKUU wa Wilaya ya Nyang’hwale mkoani Geita, Grace Kingalame amewataka wazazi au walezi kuunganisha nguvu na walimu wa watoto wao…

Soma Zaidi »
Tanzania

Wakulima wapata Sh bilioni 32 mauzo mbaazi

WAKULIMA wa zao la mbaazi ghafi mkoani Lindi wamepata Sh bilioni 32.8 msimu huu. Mkuu wa Mkoa wa Lindi, Zainab…

Soma Zaidi »
Kimataifa

Ajali yaua 20 Limpopo

TAKRIBANI watu 20 wamefariki nchini Afrika Kusini baada ya kutokea ajali barabarani katika jimbo la kaskazini la Limpopo. Waathirika wa…

Soma Zaidi »
Africa

Libya yatangaza hali ya dharura

SERIKALI ya Libya imetangaza hali ya dharura ya mwaka mzima kwa lengo la kuzuia kuenea magonjwa ya kuambukiza katika maeneo…

Soma Zaidi »
Tanzania

Takukuru kuchunguza vyama kutolipa wakulima

MKUU wa Mkoa wa Shinyanga, Chrisitina Mndeme ameitaka Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) mkoani humo kuchunguza vyama…

Soma Zaidi »
Michezo na Burudani

Mitrovic atua Al-Hilal

MSHAMBULIAJI Aleksandar Mitrovic amejiunga na Al-Hilal. Aleksandar Mitrović: “ Sina cha ajabu tena England nimecheza kwa miaka mingi. ” “Nina…

Soma Zaidi »
Biashara

SHIUMA yawashangaa Machinga kuchezea fursa

MLEZI wa Shirikisho la Umoja wa Machinga Tanzania (SHIUMA) Salim Asas amewashangaa baadhi ya machinga wa mjini Iringa kwa namna…

Soma Zaidi »
Amerika

Mstaafu Kikwete kutoa shule ya Uongozi Harvard

BOSTON, U.S.A: Rais Mstaafu  Dk. Jakaya Mrisho Kikwete yuko jijini Boston, Marekani, kwa ajili ya kutoa mafunzo kwa Mawaziri wa…

Soma Zaidi »
Fursa

Mbunge Ilemela atoa msaada majiko ya gesi

WANAWAKE wajasiriamali 400 kutoka Manispaa ya Ilemela mkoani Mwanza wamepatiwa majiko ya gesi 400 kwa lengo la kujikwamua kiuchumi. Majiko…

Soma Zaidi »
Back to top button