Na Swaumu Katambo

Tanzania

Wahamiaji haramu 65 wakamatwa Katavi

WAHAMIAJI haramu 65 kutoka nchini Ethiopia wamekamatwa katika Wilaya ya Mlele mkoani Katavi wakiwa katika gari la kubebea mafuta wakisafirishwa…

Soma Zaidi »
Kimataifa

Trump atakiwa kujisalimisha

ALIYEKUWA Rais wa Marekani, Donald Trump amefunguliwa mashtaka ya ulaghai na msururu wa uhalifu katika uchaguzi mkuu wa 2020 katika…

Soma Zaidi »
Madini

Mgodi Kitalu C wageuka shamba la bibi

IMEELEZWA mgodi wa Kitalu C wa Madini ya Tanzanite uliopo Mirerani wilayani Simanjiro mkoani Manyara umekuwa shamba la bibi­­­ baada…

Soma Zaidi »
Afya

Madaktari bingwa kutoka Marekani wawasili nchini

MADAKTARI bingwa 60 wa mifupa na nyongo kutoka Los Angeles, Marekani wamewasili Arusha na kuanza kazi katika Hospital ya Rufaa…

Soma Zaidi »
Tanzania

Watakiwa kuongeza ubunifu maeneo ya kazi

KATIBU Mkuu wa Chama cha Mapinduzi(CCM) , Daniel Chongolo amewaagiza maofisa mawasiliano serikalini kuongeza ubunifu kuhakikisha wanayaelewa maeneo wanayoyafanyia kazi…

Soma Zaidi »
Tanzania

Kesi 42 kusikilizwa Mahakama ya Rufaa

NAIBU Msajili wa Mahakama ya Rufaa Tanzania, Charles Magessa amesema kuwa mahakama hiyo inatarajiwa kusikiliza kesi 42 katika kikao chake…

Soma Zaidi »
Biashara

Wavuvi Kanda ya Ziwa watakiwa kurejea kazini

WAVUVI kutoka mikoa ya Kanda ya Ziwa, Simiyu, Mwanza, Geita, Mara na Kagera wametakiwa kuacha mgomo na kurejea katika masoko yao…

Soma Zaidi »
Tanzania

Wanawake waongezeke TAWCA

CHAMA cha Wahasibu Wanawake Tanzania (TAWCA) kimeagizwa kuendelea na mipango mbalimbali ya kwa ajili ya kuongeza wanawake wengi zaidi katika…

Soma Zaidi »
Tanzania

Mgomo wa madereva Arusha wamng’oa ofisa Latra

MGOMO wa madereva wa daladala na bajaji iliyokuwa ikiendelea katika jiji la Arusha na kushindwa kupatiwa ufumbuzi imedaiwa kumng’oa aliyekuwa…

Soma Zaidi »
Tanzania

Waziri Tamisemi asifu utendaji wa Rais Samia

WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI ) Angela Kairuki amemshukuru Rais Samia…

Soma Zaidi »
Back to top button