Ester Takwa

Michezo na Burudani

Namibia mabingwa kombe la dunia kriketi

NAMIBIA wameibuka mabingwa katika mashindano ya kriketi ya kufuzu Kombe la dunia kwa nchi za Afrika kwa wanaume chini ya…

Soma Zaidi »
Afya

Taasisi India kutoa mafunzo huduma za afya

Tanzania imepanga kushirikiana na Taasisi ya Global Health Foundation ya nchini India katika mafunzo ya wataalam na utoaji wa huduma…

Soma Zaidi »
Tanzania

Halmashauri Wilaya ya Iringa yahamia Ihemi

HALMASHAURI ya Wilaya ya Iringa imehamisha rasmi huduma zake za kiofisi katika majengo ya siasa ni kilimo mjini Iringa na…

Soma Zaidi »
Tanzania

Sh milioni 30 kusaidia elimu wasichana jamii ya wafugaji

ZAIDI ya Sh milioni 30 zimechangwa na Shirika la Mipango na Maendeleo ya jamii Longido (CBO) na Shirika mwenza la…

Soma Zaidi »
Michezo na Burudani

Mane kufanyiwa vipimo leo

MSHAMBULIAJI Sadio Mane anatarajia kufanyiwa vipimo vya afya leo kabla ya kusaini mkataba wa kuitumikia klabu ya Al-Nassr akitokea Bayern…

Soma Zaidi »
Michezo na Burudani

Suarez kumfuata Messi

UMESIKIA huko? Uswahiba wa Lionel Messi na Luis Suarez unaendelea kudhihirika baada ya taarifa kuwa Suarez anafikiria kuvunja mkataba na…

Soma Zaidi »
Dini

Rais Samia atoa pole kifo cha Baasaleh

RAIS Samia Suluhu Hassan ametoa pole kwa waumini wa dini ya Kiislamu, kufuatia kifo cha mwanazuoni Sheikh Ali Baasaleh “Nimepokea…

Soma Zaidi »
Tanzania

Mheshimiwa huna mshahara

MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Abdulrahman Kinana amesema kinachowaponza madiwani na wabunge ni kujiita waheshimiwa. Kinana ameyasema hayo…

Soma Zaidi »
Michezo na Burudani

Mayele rasmi Pyramids

KLABU ya Pyramids imethibitisha kukamilisha usajili wa mshambuliaji, Fiston Mayele kutoka Young Africans. Mayele alisajiliwa na Yanga mwaka 2021 akitokea…

Soma Zaidi »
Tanzania

Asherehekea siku ya kuzaliwa kwa kutoa msaada wa mahindi

MONICA  Nduyai (100) mzaliwa wa kijiji cha Idendui Wilaya ya Ngorongoro mkoani Arusha amesherekea siku yake ya kuzaliwa kwa kutimiza…

Soma Zaidi »
Back to top button