Na Rahimu Fadhili

Michezo na Burudani

RASMI: Sillah ajiunga Azam FC

KLABU ya Azam FC, imemsajili kiungo mshambuliaji Djibril Sillah kutoka Raja Athletic kwa mkataba wa miaka miwili. Azam wametangaza usajili…

Soma Zaidi »
Tanzania

Majaliwa aungana na Rais Samia kuomboleza kifo mbunge Mbarali

WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa ameungana na Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan kutoa pole kwa wananchi wa Jimbo la Mbarali…

Soma Zaidi »
Madini

Dk Biteko aagiza Williamson Diamond kuanza uzalishaji

WAZIRI  wa  Madini, Dk Doto Biteko ametaka  uongozi wa   Kampuni ya Williamson Diamond  LTD  inayochimba  madini ya almasi iliyopo Mwadui…

Soma Zaidi »
Jamii

Kairuki apokea mapendekezo mikopo ya 10%

WAZIRI  wa Nchi, Ofisi ya Rais,  Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Angellah Kairuki amepokea taarifa ya mapendekezo…

Soma Zaidi »
Tanzania

Dk Mwinyi aahidi kusaidia wawekezaji wenye changamoto

RAIS wa Zanzibar Dk Hussein Ali Mwinyi amesema atawasaidia wawekezaji wanaokumbana na vikwazo na changamoto mbalimbali. Aliyasema hayo jana alipozungumza…

Soma Zaidi »
Tanzania

Ujenzi SGR  Mtwara-Mbamba Bay mwaka huu

WIZARA ya Ujenzi na Uchukuzi imesema ujenzi wa reli ya kisasa (SGR) kutoka Mtwara kwenda Mbamba Bay-Songea-Ludewa mkoani Ruvuma unatarajiwa…

Soma Zaidi »
Tanzania

Mpango aagiza malipo bil 19/- deni JKT

MAKAMU wa Rais, Dk Philip Mpango ameliagiza Jeshi la Kujenga Taifa kutowalea wanaodaiwa takribani Sh bilioni 19 baada ya kupewa…

Soma Zaidi »
Tanzania

‘Bandari Tanga kuwa ya kimkakati’

SERIKALI  imesema inatarajia kuifanya Bandari ya  Tanga kuwa ya kimkakati kwa ajili ya usafirishaji wa mizigo kutoka katika nchi za…

Soma Zaidi »
Tanzania

Dk Mpango: JKT wezesheni Tanzania kuwa ghala la chakula Afrika

MAKAMU wa Rais, Dk Philip Mpango amelitaka Jeshi la Kujenga Taifa(JKT) kubuni mbinu mpya za kuchagiza agenda ya kuifanya Tanzania…

Soma Zaidi »
Biashara

Kariakoo yavunja rekodi makusanyo kodi

MKOA wa kikodi wa Kariakoo umevunja rekodi kwa kukusanya Sh bilioni 40.8 sawa na asilimia 102 kwa mwaka. Hayo yamesemwa…

Soma Zaidi »
Back to top button