Afya

Bilioni 20/- zatumika kununua dawa kila mwezi

DAR ES SALAAM: Waziri wa Afya Ummy Mwalimu amesema Serikali imeendelea kuithamini sekta ya afya kwa kutenga bajeti itakayopunguza changamoto…

Soma Zaidi »

TAKWIMU: Wanawake wanaishi zaidi ya wanaume

MTAKWIMU Mkuu wa Serikali, Albina Chuwa amesema kulingana na matokeo ya Sensa ya mwaka 2022 umri wa kuishi umeongezeka kutoka…

Soma Zaidi »

Wataalam kupatiwa mafunzo huduma mishipa ya fahamu

MADAKTARI na Wataalam wa huduma za afya nchini wanatarajia kunufaika na mafunzo ya siku nne ya mishipa ya fahamu na…

Soma Zaidi »

“Wastani wa umri wa kuishi Watanzania ni miaka 65”

DAR ES SALAAM: Mtakwimu Mkuu wa Serikali Dk Albina Chuwa amesema Juhudi za Serikali katika kuendelea kuimarisha sekta ya afya…

Soma Zaidi »

Rais Samia kuzindua ripoti ya tafiti afya ya uzazi na mtoto

Rais Samia Suluhu Hassan leo anatarajiwa kuzindua ripoti ya tafiti ya afya ya uzazi na matoto na viashiria vya malaria…

Soma Zaidi »

Mtaalamu: Hakuna malaria 1, 2 wala 3 wanapotosha!

DAR ES SALAAM; KAMA uliwahi kupima ugonjwa wa malaria na majibu ukaambiwa una malaria 1,2 au 3 tambua ulidanganywa na…

Soma Zaidi »

‘Hakuna wa kukwamisha ujenzi viwanda vya dawa’

MAKAMU wa Rais Dk. Philip Mpango amesema serikali inatambua vita iliyopo katika ujenzi wa viwanda vya dawa, lakini kwa kuwa…

Soma Zaidi »

Hospitali Arusha kuweka mfumo utunzaji kumbukumbu

HALMASHAURI zote za Mkoa wa Arusha zimetakiwa kufungua mfumo maalum wa ukusanyaji mapato (GoT HoMIS) ambao utasaidia utunzaji wa kumbukumbu…

Soma Zaidi »

Serikali Zanzibar kushirikisha sekta binafsi huduma za hospitali

ZANZIBAR: RAIS wa Zanzibar, Dk Hussein Ali Mwinyi amesema Serikali ya Zanzibar imekuja na utaratibu mpya wa kushirikisha sekta binafsi…

Soma Zaidi »

Wagonjwa 480 watolewa mawe njia mawimbi mtetemo

HOSPITALI ya Taifa Muhimbili-Mloganzila imehudumia zaidi ya wagonjwa 480 waliokuwa na changamoto ya mawe kwenye figo kwa kutumia mashine maalumu…

Soma Zaidi »
Back to top button