Fedha

Wanahisa Yetu Microfinance Plc waunda kamati kufuatilia hisa

WANAHISA katika Benki ya Yetu Microfinance Plc wameamua kuunda kamati kwa ajili ya kufuatilia hatima ya hisa zao kutokana na…

Soma Zaidi »

Wanasiasa, wachumi Zanzibar wasifu bajeti

WANASIASA na wachumi wa sekta ya fedha zikiwemo benki, wameipongeza bajeti ya serikali kwa mwaka wa fedha 2023/2024 ambayo inakwenda…

Soma Zaidi »

BoT kuhuisha Mfuko wa Dhamana uuzaji bidhaa nje

WIZARA ya Fedha na Mipango imesema serikali kupitia Benki Kuu ya Tanzania (BoT) itahuisha Mfuko wa Dhamana kwa wakopaji wanaozalisha…

Soma Zaidi »

Zimbabwe kusitisha mikopo fedha za kigeni

RAIS wa Zimbabwe,  Emmerson Mnangagwa ameamuru Benki Kuu nchini humo kusitisha kukopa fedha za kigeni kutoka vyanzo vya nje, hatua…

Soma Zaidi »

Pato la taifa laongezeka kwa Asilimia 5.2

PATO la Taifa (GDP) mwaka 2023 limeongezeka hadi kufikia asilimia 5.2 mwaka 2023 huku mfumuko wa bei ukisalia katika tarakimu…

Soma Zaidi »

Benki yazindua akaunti maalum ya walimu

Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) Akaunti ya Mwalimu kwa lengo la kutoa suluhisho la huduma za kifedha zenye gharama…

Soma Zaidi »

Leo ni bajeti ya kukuza uchumi

SERIKALI leo inatarajia kuwasilisha Makadirio ya Mapato na Matumizi kwa mwaka wa fedha 203/24 ikiwa na malengo sita ya uchumi.…

Soma Zaidi »

Wizara ya Fedha yaomba kuidhinishwa Sh tril 15

Wizara ya Fedha na Mipango imeomba ridhaa ya Bunge kuidhinisha Sh trilioni 15.94 kwa ajili ya matumizi ya kawaida na…

Soma Zaidi »

TRA yawafunda waandishi wa habari

MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imewapa semina waandishi wa habari  kuwajengea uwezo kuhusu masuala mbalimbali ya kodi. Akizungumza wakati wa…

Soma Zaidi »

‘Tuzungumze hali halisi katika uwekezaji’

VIONGOZI wa serikali pamoja na wanasiasa nchini wametakiwa kuzungumza uhalisia wa hali halisi katika uwekezaji ili kutafuta suluhisho katika eneo…

Soma Zaidi »
Back to top button