Fedha

Japan kununua kilo milioni 30 za tumbaku Tanzania

KAMPUNI ya Japan Tobacco Incorporation (JTI), imeahidi kununua kilo milioni 30 za tumbaku kutoka kwa wakulima wa Tanzania msimu ujao…

Soma Zaidi »

TRA yataka somo la kodi mitaala ya elimu

MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA), wamekutana na kamati ya Kitaifa ya uboreshaji wa Mitaala  inayoongozwa na Prof.Makenya Maboko jijini Dodoma…

Soma Zaidi »

TPA yaiwekea mikakati Bandari ya Bagamoyo

MAMLAKA  ya Usimaizi Bandari nchini (TPA), imesema iko katika maandalizi ya  ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo, itakayosaidia utoaji wa huduma…

Soma Zaidi »

Wahandisi watakiwa kuchangamkia fursa za miradi

SERIKALI imeahidi kuendeleza, kuibua, kutambua, kukuza na kuendeleza ubunifu unaofanywa na wahandisi wazawa kwa maendeleo endelevu ya Taifa. Waziri wa…

Soma Zaidi »

Maonesho ya biashara, viwanda kivutio Dar

“MAONESHO ya kimataifa ya Afrika Mashariki ni muhimu sana kwa ajili ya sekta ya viwanda, lakini zaidi tunafurahi kwamba maonesho…

Soma Zaidi »

Mazao ya Tanzania yapata soko zuri kimataifa

SERIKALI imesema mazao kutoka Tanzania, yamekuwa yakiuzwa kwenye soko la  kimataifa, ikiwemo Nchi za Jumuiya ya Ulaya pasipo mashaka yoyote…

Soma Zaidi »

Watakiwa kujenga utamaduni kuweka akiba

WANANCHI wametakiwa kujengea utamaduni wa kujiwekea akiba ya fedha, ili ziweze kuwasaidia kwa maisha ya baadae. Mwezeshaji kutoka Taasisi ya…

Soma Zaidi »

Wafugaji kuku Dar wawatwisha lawama wafanyabiashara

BAADHI ya wafugaji wa kuku katika Mkoa wa Dar es Salaam na Pwani, wameacha kufuga kuku kutokana na hasara waliyoipata…

Soma Zaidi »

Kongamano la biashara China, Tanzania laiva

ZAIDI ya Taasisi 50 zinatarajiwa kushiriki Kongamano la Biashara la Kimataifa  lililoandaliwa na Jukwaa lijulikanalo kama ‘China Trade Week’ (CTW)…

Soma Zaidi »

CRDB yawatangazia raha wakulima Mtwara

BENKI ya CRDB Kanda ya Kusini, imewashauri wakulima wa zao la korosho mkoa wa Mtwara kutumia tembo card, wakati wa…

Soma Zaidi »
Back to top button