Biashara

WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.

Serikali yashauriwa kudhibiti mikopo chechefu

Serikali yashauriwa kudhibiti mikopo chechefu

WACHAMBUZI wa masuala ya kiuchumi wamesema kutokana na kuwapo mikopo mingi chechefu katika mifuko 52 ya uwezeshaji wananchi kiuchumi ni…
GCU kuanza kuzalisha alizeti Geita

GCU kuanza kuzalisha alizeti Geita

CHAMA cha Ushirika cha Geita (GCU) kimeadhimia kuwekeza katika kilimo cha alizeti kama zao mbadala la kuongeza kipato cha ushirika…
BoT yaonesha ukusanyaji mzuri wa mapato Januari

BoT yaonesha ukusanyaji mzuri wa mapato Januari

RIPOTI ya tathmini ya uchumi ya kila mwezi ya Benki Kuu ya Tanzania (BoT) kwa mwezi Februari imebainisha kuwa ukusanyaji…
Ongezeko la watu lisiathiri uchumi

Ongezeko la watu lisiathiri uchumi

SERIKALI imeshauriwa kuimarisha sekta binafsi kwa kuweka mazingira yatakayovutia uwekezaji wa ndani na nje ili ongezeko la watu lisiathiri ukuaji…
Serikali yaweka mkakati kuinua zao la mchikichi

Serikali yaweka mkakati kuinua zao la mchikichi

SERIKALI kupitia Wizara ya kilimo imeeleza mkakati wake wa kuboresha miundombinu ya kituo cha Utafiti cha TARI – KIHINGA kuwa…
Ulega atoa ahadi kwa Rais Samia

Ulega atoa ahadi kwa Rais Samia

WAZIRI wa Mifugo na Uvuvi, Abdallah Ulega amemuhakikishia Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kuwa Sekta za Mifugo na Uvuvi zinakwenda…
‘Fikisheni umeme kwa mwekezaji’

‘Fikisheni umeme kwa mwekezaji’

KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM),Daniel Chongolo ,ametoa mwezi mmoja kwa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco),mkoani Singida kufikisha umeme…
Utalii wachangia asilimia 30 pato la taifa Zanzibar

Utalii wachangia asilimia 30 pato la taifa Zanzibar

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk Hussein Ali Mwinyi amemueleza Rais wa Benki ya Maendeleo ya…
Watakiwa kuongeza ubunifu kuzifikia fursa

Watakiwa kuongeza ubunifu kuzifikia fursa

SERIKALI imewataka wajasiriamali wa bidhaa nchini kuelekeza nguvu zao katika ubunifu wa kidigitali ili kuweza kuzifikia fursa mbalimbali zenye kuongeza…
Dk Mpango akaribisha wawekezaji EU

Dk Mpango akaribisha wawekezaji EU

MAKAMU wa Rais Dk Philip Mpango, amewakaribisha wawekezaji kutoka Umoja wa Ulaya (EU), kuwekeza nchini na kusema Tanzania imedhamiria kuvutia…
Back to top button