Biashara
WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.
BOT: Uchumi Tanzania kukua 7.2%
January 9, 2026
BOT: Uchumi Tanzania kukua 7.2%
UCHUMI wa Tanzania Bara unatarajiwa kukua kwa asilimia sita katika robo ya kwanza ya mwaka 2026, huku uchumi wa Zanzibar…
Mwigulu: Waliopora mali za wananchi warudishe
January 9, 2026
Mwigulu: Waliopora mali za wananchi warudishe
WAZIRI Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba amesema watu wote waliopora mali za wenzao ikiwemo ardhi warudishe wenyewe kabla hawajafikiwa na mkono…
Samia ataka ulinzi baharini, awagusa wavuvi
January 9, 2026
Samia ataka ulinzi baharini, awagusa wavuvi
RAIS Samia Suluhu Hassan amesema bahari ni eneo muhimu kwa usalama wa nchi hivyo Taasisi ya Sayansi ya Bahari ya…
Mitambo ya kuchimbia gesi yanukia Bandari Mtwara
January 8, 2026
Mitambo ya kuchimbia gesi yanukia Bandari Mtwara
MTWARA. Kwa mara ya kwanza katika historia, Bandari ya Mtwara inatarajiwa kuanza kupokea mitambo na vifaa vya kisasa kwa ajili…
Washiriki kozi ndefu NDC-TZ wafundwa
January 7, 2026
Washiriki kozi ndefu NDC-TZ wafundwa
DAR ES SALAAM: Washiriki wa Kozi Ndefu katika Chuo cha Taifa cha Ulinzi Tanzania (NDC-TZ) leo wamepatiwa mhadhara maalum ulioangazia…
TRA yapewa tano ukusanyaji mapato
January 6, 2026
TRA yapewa tano ukusanyaji mapato
ARUSHA: Waziri wa Fedha, Balozi Khamis Mussa Omar, ameipongeza Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kwa ufanisi mkubwa katika ukusanyaji wa…
Wanatuita maskini huku ‘wanakuja kula kwetu’!
January 6, 2026
Wanatuita maskini huku ‘wanakuja kula kwetu’!
VURUGU zilizotokea nchini Oktoba 29, 2025 iliyokuwa siku ya uchaguzi mkuu na siku kadhaa baadaye, ni kosa lililofanywa na baadhi…
TRA yaagizwa kukomesha matumizi mabaya ya misamaha ya kodi nchini
January 6, 2026
TRA yaagizwa kukomesha matumizi mabaya ya misamaha ya kodi nchini
SERIKALI imeitaka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kukomesha matumizi mabaya ya misamaha ya kodi ili malengo ya serikali ya kuvutia…
ZSSF yatakiwa kusukuma miradi ya maendeleo
January 5, 2026
ZSSF yatakiwa kusukuma miradi ya maendeleo
RAIS wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi amefungua Soko la Mbogamboga la Mombasa Mjini Unguja na kuagiza Mfuko wa Hifadhi ya…
Safari SGR zarejea rasmi, Mbarawa asema ni salama
January 4, 2026
Safari SGR zarejea rasmi, Mbarawa asema ni salama
SHIRIKA la Reli Tanzania (TRC) limetoa ratiba ya safari za treni ya kisasa ya SGR baada ya serikali kutan gaza…