Biashara
WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.
Wamiliki hoteli wapewa neno AFCON 2027
April 25, 2026
Wamiliki hoteli wapewa neno AFCON 2027
ARUSHA: Wamiliki wa hoteli nchini wametakiwa kujipanga na kuboresha huduma zao ikiwemo miundombinu ya malazi,kuelekea AFCON 2027 ambapo inakadiriwa Tanzania…
Makamishna wapya waahidi kusimamia ushindani wa haki sokoni
April 23, 2026
Makamishna wapya waahidi kusimamia ushindani wa haki sokoni
KILIMANJARO: Mamlaka ya Ushindani ya Jumuiya ya Afrika Mashariki (EACCA) zimekutana Mjini Moshi mkoani Kilimanjaro leo Aprili 23, 2026 na…
Kapinga atoa mwelekeo mpya sekta ya huduma na biashara
April 20, 2026
Kapinga atoa mwelekeo mpya sekta ya huduma na biashara
DAR ES SALAAM: Waziri wa Viwanda na Biashara, Judith Kapinga, ametoa mwelekeo mpya unaolenga kuibadilisha sekta ya biashara na huduma…
Equity yafungua tawi Ubungo kuwakutanisha wafanyabiashara
April 17, 2026
Equity yafungua tawi Ubungo kuwakutanisha wafanyabiashara
DAR ES SALAAM: Benki ya Equity imezindua tawi jipya katika eneo la Ubungo, jijini Dar es Salaam, ndani ya jengo…
Prof. Mkumbo ataja mambo 6 kufikia Dira 2050
April 16, 2026
Prof. Mkumbo ataja mambo 6 kufikia Dira 2050
DODOMA:WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais – Mipango na Uwekezaji, Prof Kitila Mkumbo, ameweka wazi mambo sita ya msingi ambayo…
Serikali kuondoa vikwazo uanzishaji biashara
April 16, 2026
Serikali kuondoa vikwazo uanzishaji biashara
DODOMA: serikali imelenga kuondoa vikwazo vinavyokwamisha uanzishwaji na uendeshaji wa biashara kwa kufanya mapitio ya sheria na kanuni ambazo sio…
Ubomoaji Kikwajuni waanza kupisha mradi wa Infinity Hills
April 14, 2026
Ubomoaji Kikwajuni waanza kupisha mradi wa Infinity Hills
Zanzibar: Ubomoaji umeanza katika eneo la Kikwajuni lililotengwa kwa ajili ya mradi wa matumizi mchanganyiko wa Infinity Hills, ikiwa ni…
Sekta za fedha zapongezwa kuwawezesha wanawake kiuchumi
April 13, 2026
Sekta za fedha zapongezwa kuwawezesha wanawake kiuchumi
WAZIRI wa Viwanda na Biashara, Judith Kapinga, ameipongeza Benki ya CRDB kwa mchango wake mkubwa katika kuwainua wajasiriamali nchini kupitia…
Wafanyabiashara Simu 2000 wapangiwa maeneo ya muda
April 11, 2026
Wafanyabiashara Simu 2000 wapangiwa maeneo ya muda
DAR ES SALAAM — Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, amesema wafanyabiashara wa soko la Simu 2000…
Dar kitovu cha mafuta, bei hutegemea soko la dunia
April 11, 2026
Dar kitovu cha mafuta, bei hutegemea soko la dunia
DAR ES SALAAM — Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, amesema mkoa huo ni kitovu kikuu cha…