Biashara
WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.
Dk. Nchimbi kuzindua jengo jipya JNIA
January 16, 2026
Dk. Nchimbi kuzindua jengo jipya JNIA
MAKAMU wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Balozi Dk. Emmanuel Nchimbi, atazindua rasmi jengo la wageni mashuhuri katika…
Umeme Ruvuma; daraja la uchumi wa kujikimu hadi wa uzalishaji
January 13, 2026
Umeme Ruvuma; daraja la uchumi wa kujikimu hadi wa uzalishaji
RUVUMA ni mkoa uliowahi kupata changamoto kubwa ya ukosefu wa umeme wa uhakika. Saa za jioni zilipowadia, giza lilitanda mapema…
‘Tanga ya Viwanda’ yaanza kuonekana
January 13, 2026
‘Tanga ya Viwanda’ yaanza kuonekana
SERIKALI ya Tanzania imeweka malengo makubwa kuhakikisha inafufua viwanda mkoani Tanga ili kuongeza fursa za ajira kwa wananchi na kuongeza…
MABADILIKO CHANYA: Mfumo, mchakato unaopatikana katika familia
January 13, 2026
MABADILIKO CHANYA: Mfumo, mchakato unaopatikana katika familia
DESEMBA 2, 2025 wakati anahutubia Wazee wa Dar es Salaam na Watanzania kwa ujumla, Rais Samia Suluhu Hassan alisisitiza jukumu…
PPRA yawapa mafunzo wafanyabiashara Dar
January 11, 2026
PPRA yawapa mafunzo wafanyabiashara Dar
DAR ES SALAAM; Wafanyabiashara wapatao 500 jijini Dar es Salaam wameshiriki mafunzo maalumu ya ununuzi wa umma yaliyoendeshwa na Mamlaka…
Taasisi zatakiwa kujizatiti utekelezaji wa Dira 2050
January 11, 2026
Taasisi zatakiwa kujizatiti utekelezaji wa Dira 2050
ARUSHA; WAZIRI wa Viwanda na Biashara, Judith Kapinga amezitaka taasisi zote zilizo chini ya wizara hiyo kuweka mikakati madhubuti itakayowawezesha…
Manunuzi mahitaji ya shule yaboresha biashara Dar
January 11, 2026
Manunuzi mahitaji ya shule yaboresha biashara Dar
DAR ES SALAAM;- ZIKIWA zimesalia siku mbili shule kufunguliwa na muhula mpya wa masomo kuanza, baadhi ya wazazi wameendelea kufanya…
Rais Samia: Amani ndio nguzo ya uwekezaji
January 10, 2026
Rais Samia: Amani ndio nguzo ya uwekezaji
ZANZIBAR; RAIS Samia Suluhu Hassan amesema kukua kwa uwekezaji nchini kumewezekana kutokana na uwepo wa amani na utulivu wa kisiasa,…
TSN, TISEZA kushirikiana kutangaza maeneo ya uwekezaji
January 9, 2026
TSN, TISEZA kushirikiana kutangaza maeneo ya uwekezaji
DAR ES SALAAM; UJUMBE wa Menejimenti ya Kampuni ya Magazeti ya Serikali Tanzania (TSN), ukiongozwa na Mkurugenzi Mtendaji Asha Dachi,…
‘Maamuzi sahihi hayaishii pale msimu wa sikukuu unapoishia’
January 9, 2026
‘Maamuzi sahihi hayaishii pale msimu wa sikukuu unapoishia’
Dar es Salaam: Ingawa msimu wa sikukuu umefikia tamati, umuhimu wa unywaji kistaharabu na usalama barabarani unaendelea kuwa mkubwa, hususani…