Biashara

WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.

Serikali, GATSBY Africa wajadili malengo Dira 2050

Serikali, GATSBY Africa wajadili malengo Dira 2050

SERIKALI na GATSBY Africa wamejadiliana vipaumbele vya Tanzania katika mabadiliko ya kiuchumi hasa katika kuimarisha ushindani wa uzalishaji wa viwanda…
TPA na Ziwa Victoria kama lango la kimkakati kibiashara

TPA na Ziwa Victoria kama lango la kimkakati kibiashara

ZIWA Victoria linaendelea kurejea katika nafasi yake kama nguzo kuu ya mfumo wa usafiri na biashara nchini Tanzania. Hii inatokana…
Balozi Omar aitaka EADB kushirikisha serikali, sekta binafsi

Balozi Omar aitaka EADB kushirikisha serikali, sekta binafsi

WAZIRI wa Fedha, Balozi Khamis Mussa Omar ameishauri Benki ya Maendeleo ya Afrika Mashariki (EADB) kuongeza ubunifu katika kushirikiana na…
ATC , RUWASA kuzalisha mita janja

ATC , RUWASA kuzalisha mita janja

CHUO cha Ufundi Arusha (ATC) kimesaini hati ya makubaliano na Wakala wa Usambazaji Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini (RUWASA)…
Mauzo ya asali nje yafikia tani 1,713 mwaka 2025

Mauzo ya asali nje yafikia tani 1,713 mwaka 2025

SERIKALI  imesema mauzo ya asali nje ya nchi yameongezeka kutoka tani 607 za thamani ya Sh bilioni 4.8 mwaka 2021…
Boti ya mizigo yateketea moto, yajeruhi 2 Kigoma

Boti ya mizigo yateketea moto, yajeruhi 2 Kigoma

KIGOMA; WATU wawili wamejeruhiwa kwa moto baada ya boti ya mizigo inayojulikama kwa jina la Mv Suala la Muda kuteketea…
Elimu kutolewa sekta ya uwekezaji

Elimu kutolewa sekta ya uwekezaji

DAR ES SALAAM; Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais MIpango na Uwekezaji Profesa Kitila Mkumbo, amesema serikali inakusudia kutoa elimu…
Maadhimisho wiki huduma za fedha kitaifa kufanyika Tanga

Maadhimisho wiki huduma za fedha kitaifa kufanyika Tanga

Maadhimisho ya wiki ya huduma za fedha kitaifa yanatarajiwa kufanyika jijini Tanga Januari 19 hadi 26, 2026. Kwa mujibu wa…
Kapinga, Londo mguu sawa kuimarisha viwanda, biashara

Kapinga, Londo mguu sawa kuimarisha viwanda, biashara

DODOMA; Waziri wa Viwanda na Biashara Judith Kapinga, ameongoza watumishi wa wizara hiyo kumpokea Naibu Waziri mpya, Denis Londo, huku…
Mfumo Mpya wa Kodi Kuanza

Mfumo Mpya wa Kodi Kuanza

MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) Februari 9, mwaka huu inatarajia kuanza rasmi matumizi ya Mfumo Jumuishi wa Usimamizi wa Ukusanyaji…
Back to top button