Biashara

WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.

TRA yaja na Shahada ya Uzamili ya Kodi kuongeza wataalamu

TRA yaja na Shahada ya Uzamili ya Kodi kuongeza wataalamu

DAR ES SALAAM: CHUO cha Kodi cha Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA-ITA), kimeanza mchakato wa kuanzisha Shahada ya Uzamili ya…
Ujenzi SGR Tanga-Arusha-Musoma wahojiwa bungeni

Ujenzi SGR Tanga-Arusha-Musoma wahojiwa bungeni

DODOMA; Mbunge wa Tanga Mjini, Kassim Mbaraka amehoji bungeni ni lini ujenzi wa Reli ya Kisasa (SGR) kutoka Bandari ya…
Aipongeza serikali kuimarisha mauzo ya kahawa nje ya nchi

Aipongeza serikali kuimarisha mauzo ya kahawa nje ya nchi

KAGERA: Mwekezaji wa kiwanda cha kuongeza thamani ya zao la kahawa mkoani Kagera, Amiri Hamza, ameipongeza Serikali ya Awamu ya…
Vijana washauriwa kuwekeza soko la hisa

Vijana washauriwa kuwekeza soko la hisa

ARUSHA: Vijana wameshauriwa kuwekeza katika soko la hisa ili kujenga uchumi kupitia uwekezaji wa kidijitali na kujikwamua kiuchumi huku wakijiandaa…
Chevron: Tupo tayari kuwekeza Tanzania

Chevron: Tupo tayari kuwekeza Tanzania

London, Uingereza: Kampuni kubwa nishati kutoka Marekani, Chevron Corporation imeeleza utayari wake wa kuwekeza nchini Tanzania katika shughuli za utafutaji…
Zaipuna kueleza mageuzi ya NMB Cambridge

Zaipuna kueleza mageuzi ya NMB Cambridge

DAR ES SALAAM: Katika hatua muhimu kwa sekta ya benki nchini na uongozi wa taasisi za kibiashara barani Afrika, Mkurugenzi…
Kapinga awapa kipaumbele wazawa ajira viwandani

Kapinga awapa kipaumbele wazawa ajira viwandani

PWANI: Waziri wa Viwanda na Biashara, Judith Kapinga, amewashauri wamiliki wa viwanda vipya kutoa kipaumbele kwa wazawa kuhusu ajira ili…
Serikali yaendelea kulinda ajira viwandani

Serikali yaendelea kulinda ajira viwandani

DAR ES SALAAM: Waziri wa Viwanda na Biashara, Judith Kapinga amesema Serikali inaendelea kulinda ajira zilizopo na kuzalisha ajira mpya…
Tanzania, EU waimarisha ushirikiano kibiashara

Tanzania, EU waimarisha ushirikiano kibiashara

DAR ES SALAAM: Tanzania na Umoja wa Ulaya wameendelea kuimarisha ushirikiano katika biashara, uwekezaji, maendeleo ya miundombinu pamoja na kukuza…
Airtel yajivunia mapato

Airtel yajivunia mapato

Matumizi ya intaneti na huduma za fedha kupitia simu yamekuwa injini kuu ya ukuaji wa Airtel Africa, huku kampuni hiyo…
Back to top button