Biashara

WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.

CBK: Acheni kutumia noti kwa mapambo

CBK: Acheni kutumia noti kwa mapambo

BENKI Kuu ya Kenya (CBK) imewaonya wafanyabiashara wa maua na wamiliki wa maduka ya zawadi dhidi ya kutumia noti kutengeneza…
Samia azidi kuimarisha diplomasia ya uchumi

Samia azidi kuimarisha diplomasia ya uchumi

RAIS Samia Suluhu Hassan amesema Tanzania ni nchi inayotekeleza makubaliano kwa vitendo. Alisema hayo alipofanya mikutano miwili ya ngazi ya…
Waziri Kapinga: DSE kukuza mitaji wafanyabiashara

Waziri Kapinga: DSE kukuza mitaji wafanyabiashara

DODOMA; USHIRIKIANO wa Wizara ya Viwanda na Biashara na Soko la Hisa la Dar es Salaam (DSE) utaziwezesha biashara nyingi…
Bandari ya Dar kuongeza idadi ya gati

Bandari ya Dar kuongeza idadi ya gati

DODOMA; SERIKALI imesema kutokana na ongezeko la meli na shehena kwa ujumla, Bandari ya Dar es Salaam inaendelea na mipango…
UNDP yatoa milioni 70 kukuza biashara

UNDP yatoa milioni 70 kukuza biashara

WANAFUNZI wajasiriamali 20 kutoka vyuo vikuu mbalimbali nchini wamepatiwa zaidi ya Shilingi milioni 70 kwa ajili ya kukuza biashara zao,…
Sh Tril 477 kugharamia Mpango wa Maendeleo

Sh Tril 477 kugharamia Mpango wa Maendeleo

DODOMA; SERIKALI imesema gharama za utekelezaji wa Mpango wa Nne wa Maendeleo wa Taifa wa Miaka Mitano zinakadiriwa kuwa Sh…
Wafanyabiashara lindeni mazingira ya biashara

Wafanyabiashara lindeni mazingira ya biashara

WAFANYABIASHARA katika masoko yaliyopo jijini Dodoma wamehimizwa kutosubiri kusimamiwa na viongozi katika uondoaji wa takataka kwenye maeneo yao. Msimamizi wa…
Wawili waachiwa kesi uhujumu bil 5.7/-

Wawili waachiwa kesi uhujumu bil 5.7/-

MKURUGENZI wa Mashitaka (DPP) amesema hana nia ya kuendelea kuwashitaki washitakiwa wawili kati ya 10 wanaokabiliwa na kesi ya uhujumu…
Prof. Mkumbo rasmi kusaka wawekezaji Uingereza

Prof. Mkumbo rasmi kusaka wawekezaji Uingereza

LONDON: WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais – Mipango na Uwekezaji, Profesa Kitila Mkumbo, amewasili jijini London kuanza ziara rasmi…
DC Ilala amaliza mgomo wa wafanyakazi wa kiwanda

DC Ilala amaliza mgomo wa wafanyakazi wa kiwanda

MKUU wa Wilaya ya Ilala, Edward Mpogolo amemaliza mgomo wa wafanyakazi zaidi ya 1,500 wa Kiwanda cha Namera kilichopo Gongolamboto…
Back to top button