Biashara

WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.

Watumishi viwanda wasisitizwa uaminifu, weledi

Watumishi viwanda wasisitizwa uaminifu, weledi

DODOMA; WAZIRI wa Viwanda na Biashara, Judith Kapinga ametoa rai kwa watumishi wa wizara hiyo kufanya kazi kwa weledi, uaminifu…
Nyuma ya pazia safari ya mjasiriamali Lukosi

Nyuma ya pazia safari ya mjasiriamali Lukosi

DAR ES SALAAM. Mjasiriamali Chris Lukosi anasema safari yake ya maisha imejengwa juu ya kanuni moja: kutokata tamaa. Akikumbuka kupoteza…
Lukosi ataja msingi wa falsafa za biashara zake

Lukosi ataja msingi wa falsafa za biashara zake

DAR ES SALAAM: Mjasiriamali wa Kitanzania anayeishi diaspora, Chris Lukosi, amesema mafanikio ya biashara hayawezi kutenganishwa na wajibu kwa jamii,…
Mjasiriamali aja na Lukosi Village

Mjasiriamali aja na Lukosi Village

DAR ES SALAAM; Mjasiriamali wa Kitanzania anayeishi diaspora, Chris Lukosi, ametangaza mpango wa uwekezaji mkubwa wa makazi na biashara unaojulikana…
Equity yaja na suluhisho kutunza fedha za wafanyabiashara

Equity yaja na suluhisho kutunza fedha za wafanyabiashara

DAR ES SALAAM: BENKI ya Equity imezindua rasmi akaunti ya Wezesha itakayowasaidia wafanyabiashara wadogo, wanafunzi, vyama na taasisi pamoja na…
‘Tunataka wafanyabiashara waone TRA, Tiseza ni washirika’

‘Tunataka wafanyabiashara waone TRA, Tiseza ni washirika’

DODOMA; CHEMBA ya Taifa ya Biashara Tanzania (TNCC), imesema maboresho makubwa ya kiutendaji yanafanyika ndani ya chemba kwa lengo la…
TISEZA kuanzisha madawati ya uwekezaji kwenye halmashauri

TISEZA kuanzisha madawati ya uwekezaji kwenye halmashauri

KAGERA: Mamlaka ya Uwekezaji na Maeneo Maalumu ya Kiuchumi Tanzania (TISEZA) imewahaidi wawekezaji wazawa kuwa itaanzisha madawati ya uwekezaji kila…
Rais Samia kuzindua soko la Kariakoo

Rais Samia kuzindua soko la Kariakoo

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan, anatarajiwa kuzindua Soko la Kariakoo Februari 8, 2026, baada…
Jinsi Rushwa Inavyodhoofisha Uchumi wa Kenya

Jinsi Rushwa Inavyodhoofisha Uchumi wa Kenya

TUME ya Maadili na Kupambana na Rushwa ya Kenya (EACC) hivi karibuni ilitoa ripoti ya mwaka 2024 kuhusu hali ya…
Vikundi 24,064 vyanufaika mafunzo usimamizi mikopo

Vikundi 24,064 vyanufaika mafunzo usimamizi mikopo

DODOMA; SERIKALI imesema kipindi cha kuanzia Julai, 2024 hadi Januari 2026, jumla ya vikundi 24,064 vimepatiwa mafunzo ya usimamizi wa…
Back to top button