Biashara

WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.

Wachumi waeleza mbinu ‘kutoboa’ Januari

Wachumi waeleza mbinu ‘kutoboa’ Januari

WATAALAMU wa uchumi wametoa ushauri wa namna ya kukabiliana na hali ngumu ya kifedha mwezi Januari ikiwamo kuweka akiba mapema…
Mauzo korosho yavuka tril 1.2/-

Mauzo korosho yavuka tril 1.2/-

MAUZO ya korosho kwenye minada mbalimbali nchini yamevunja rekodi baada ya kuvuka Sh trilioni 1.2 ambazo zimekusanywa nchini, kutokana na…
TRA yavunja rekodi, yakusanya tril 9.8/-

TRA yavunja rekodi, yakusanya tril 9.8/-

MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imejivunia ufanisi wa ukusanyaji wa mapato katika robo ya pili ya Mwaka 2025/2026 huku Desemba…
Miradi ya kimkakati iliyotikisa mwaka 2025

Miradi ya kimkakati iliyotikisa mwaka 2025

DAR ES SALAAM; MWAKA 2025 utaendelea kukumbukwa kama kipindi cha kihistoria kilicholeta mageuzi makubwa katika sekta ya usafirishaji na miundombinu…
TISEZA yavunja rekodi, yasajili miradi ya dola bilioni 10

TISEZA yavunja rekodi, yasajili miradi ya dola bilioni 10

BAGAMOYO: MAMLAKA ya Uwekezaji na Maeneo Maalum ya Kiuchumi Tanzania (TISEZA) imevunja rekodi kwa kusajili jumla ya miradi 915 yenye…
Suluhu changamoto kumi za biashara kwa wazalishaji dawa

Suluhu changamoto kumi za biashara kwa wazalishaji dawa

DESEMBA 29 makala haya ya JOHN MAPEPELE chini ya kichwa cha habari: ‘Mwanga wa Matumaini Sekta ya Dawa Tanzania’ yalikuwa…
Uwekezaji Bandari ya Tanga wazaa matunda, fursa lukuki

Uwekezaji Bandari ya Tanga wazaa matunda, fursa lukuki

UWEKEZAJI uliofanywa na serikali katika Bandari ya Tanga umeanza kuleta tija kutokana na ongezeko la shehena za mizigo kutoka mataifa…
Balozi Omar aeleza umuhimu sekta ya bima kiuchumi

Balozi Omar aeleza umuhimu sekta ya bima kiuchumi

WAZIRI wa Fedha Balozi Khamis Mussa Omar amesema sekta ya bima ina mchango mkubwa kukuza uchumi wa taifa hususani kulinda…
Sarafu ya Dhahabu ya BRICS Iko Njiani

Sarafu ya Dhahabu ya BRICS Iko Njiani

MWEKEZAJI maarufu wa Marekani, Robert Kiyosaki, amesisitiza wito wake wa kuwekeza katika madini ya thamani na fedha za kidijitali akidai…
Msipandishe bei ya vifaa vya shule

Msipandishe bei ya vifaa vya shule

WAKATI Watanzania wakiendelea kuungana na watu wengine duniani kusherehekea sikukuu za mwisho wa mwaka, maandalizi ya wanafunzi kurejea shuleni nayo…
Back to top button