Biashara

WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.

HABARI KUU: Oktoba 5, 2022

HABARI KUU: Oktoba 5, 2022

Mkusanyiko wa Habari Kuu kutoka chumba cha HabariLEO jijini Dar es Salaam leo Oktoba 5, 2022 jioni.
Majaliwa: Njooni muwekeze sekta ya utalii

Majaliwa: Njooni muwekeze sekta ya utalii

WAZIRI Mkuu, Kassimu Majaliwa amewashauri wawekezaji kuja kuwekeza nchini kwenye sekta ya utalii, kwa sababu ya amani na  utulivu na…
TPDC waanza utekelezaji bomba la gesi Mtwara

TPDC waanza utekelezaji bomba la gesi Mtwara

SHIRIKA la Maendeleo ya Petroli Nchini (TPDC), limeanza kutekeleza hatua za  kuanza ujenzi wa bomba la kusafirisha gesi asilia, lenye…
Waaswa kukomesha migogoro wachimbaji wadogo, wawekezaji

Waaswa kukomesha migogoro wachimbaji wadogo, wawekezaji

WAZIRI wa Madini, Dk Doto Biteko, amewaasa wanajiolojia kuacha tabia ya kuleta migogoro, baina ya wawekezaji na wachimbaji wadogo wa…
Makusanyo ya kodi Geita yaimarika

Makusanyo ya kodi Geita yaimarika

MAMLAKA ya Mapato nchini (TRA) mkoani Geita, imesema makusanyo ya kodi mkoani hapa yameimarika kwa asilimia 67.53 kwa robo ya…
Wakabidhiwa vyerehani Katavi

Wakabidhiwa vyerehani Katavi

HALMASHAURI ya Manispaa ya Mpanda mkoani Katavi, imekabidhi vyerehani vinne  kwa kikundi cha vijana cha Umoja wa Mafundi Nguo kutoka…
Mafundi 1000 kupatiwa elimu ya upauaji

Mafundi 1000 kupatiwa elimu ya upauaji

MAFUNDI zaidi ya 1000 nchini, watapatiwa elimu kuhusu masuala ya upauaji wa nyumba. Hayo yamesemwa leo na Meneja wa Kampuni…
Serikali yaja na maabara inayotembea kupima Ebola

Serikali yaja na maabara inayotembea kupima Ebola

KATIKA Kudhibiti mlipuko wa ugonjwa wa  Ebola nchini, serikali imeweka maabara tembezi ya kupima virusi vya ugonjwa huo ambayo imefungwa…
DC Jokate awataka wananchi kuondoka vijiweni

DC Jokate awataka wananchi kuondoka vijiweni

MKUU wa Wilaya ya Temeke, Jokate Mwegelo amewataka wananchi anaowaongoza kuondokana vijiweni na kuchangamkia fursa za ajira. Jokate ameyasema hayo…
Matajiri wa Misri wajadili fursa za uwekezaji Tanzania

Matajiri wa Misri wajadili fursa za uwekezaji Tanzania

JUMLA ya kampuni  34 kutoka Misri zimeshiriki Mkutano wa Kibiashara jijini Dar es Salaam kwa lengo la kutafuta fursa za…
Back to top button