Biashara
WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.
Uingereza yafuta ushuru bidhaa za Tanzania
November 30, 2022
Uingereza yafuta ushuru bidhaa za Tanzania
SERIKALI ya Uingereza imefungua milango kwa bidhaa za Tanzania kulifikia soko la nchi hiyo bila kutozwa ushuru. Kaimu Katibu Mkuu…
Majaliwa: Uwekezaji nchini hautakwama
November 29, 2022
Majaliwa: Uwekezaji nchini hautakwama
WAZIRI Kassim Majaliwa amesema kuwa Serikali ya awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan itaendelea kuwaunga mkono wawekezaji…
TRA Katavi yakusanya zaidi ya bilioni 7/-
November 29, 2022
TRA Katavi yakusanya zaidi ya bilioni 7/-
Katika mwaka wa fedha 2021/22 Mamlaka ya mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Katavi imefanikiwa kukusanya shilingi bilioni 7.2 sawa na…
Serikali yataja mikakati kudhibiti bei za vyakula
November 29, 2022
Serikali yataja mikakati kudhibiti bei za vyakula
S ERIKALI imesema inachukua hatua za muda mfupi na muda mrefu kudhibiti kupanda bei ya bidhaa za chakula kama vile…
Ghana kununua mafuta kwa dhahabu
November 26, 2022
Ghana kununua mafuta kwa dhahabu
SERIKALI ya Ghana inafanyia kazi sera mpya ya kununua mafuta kwa dhahabu, badala ya akiba ya Dola za Marekani ili…
Majaliwa: Mradi wa SGR ukamilike kwa wakati
November 24, 2022
Majaliwa: Mradi wa SGR ukamilike kwa wakati
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema ameridhishwa na maendeleo ya mradi wa ujenzi wa Reli ya Kisasa (SGR) na kwamba Serikali…
Mfumo wa umilikishwaji fukwe kupitiwa upya
November 24, 2022
Mfumo wa umilikishwaji fukwe kupitiwa upya
NAIBU Waziri wa Maliasili na Utalii, Mary Masanja amesema Wizara ya Maliasili na Utalii imependekeza kupitiwa upya kwa mfumo wa…
Jukwaa la Wakulima Afrika laipa 5 Tanzania
November 24, 2022
Jukwaa la Wakulima Afrika laipa 5 Tanzania
JUKWAA la Kikanda la Wakulima, Kusini mwa Afrika limempongeza serikali chini ya Rais Samia Suluhu Hassan kwa ongezeko kubwa la…
NMB yatwaa tuzo 18 kitaifa, kimataifa
November 24, 2022
NMB yatwaa tuzo 18 kitaifa, kimataifa
BENKI ya NMB imetwaa jumla ya tuzo 18 za ubora za kitaifa na kimataifa. Jana benki hiyo ilitangaza tuzo 10…
TRC yaanza kupokea mabehewa ya SGR
November 24, 2022
TRC yaanza kupokea mabehewa ya SGR
SHIRIKA la Reli Tanzania (TRC) limeanza kupokea mabehewa yatakayotumika katika Reli ya Kisasa (SGR). Mabehewa 14 yaliyotengenezwa na kampuni ya…