Biashara
WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.
‘Elimu ya kodi imenisaidia kutambua vishoka TRA’
April 24, 2024
‘Elimu ya kodi imenisaidia kutambua vishoka TRA’
MFANYABIASHARA wa madini katika machimbo ya Matabi, Wilaya ya Chato mkoani Geita, Marik Ngutti amesema elimu ya kodi imemsaidia kuwatambua…
Wakala wa ukadiriaji wakaa mstari wa mbele
April 24, 2024
Wakala wa ukadiriaji wakaa mstari wa mbele
Ukadiriaji huo unatumika kama mwanga wa uwazi, kusaidia wawekezaji kufanya uamuzi sahihi na kuhimiza kampuni kujitahidi kuboresha kila wakati.
‘Marufuku wanunuzi pamba kuanzisha vituo binafsi’
April 10, 2024
‘Marufuku wanunuzi pamba kuanzisha vituo binafsi’
BARIADI, Simiyu: Mkuu wa Wilaya ya Bariadi mkoani Simiyu Simion Simalenga amesema katika msimu wa ununuzi wa zao la pamba…
TCB yaanza mwaka vizuri
April 9, 2024
TCB yaanza mwaka vizuri
DAR ES SALAAM :BENKI ya Biashara Tanzania (TCB), imesema itaendelea kutoa huduma bora kwa wananchi, ikiwa ni pamoja na kuwekeza…
Mkazi wa Singida ashinda Sh milioni 140
April 8, 2024
Mkazi wa Singida ashinda Sh milioni 140
DAR ES SALAAM; Shabiki wa klabu ya Simba na Arsenal, Yahaya Bakari ameshinda Sh 140,503,890 baada ya kubashiri kwa usahihi…
ICRA yatoa neno kwa MFIs
April 8, 2024
ICRA yatoa neno kwa MFIs
DAR ES SALAAM; WAKALA wa Ukadiriaji (ICRA), imesema ukadiriaji wa mikopo ni muhimu kwa taasisi ndogo za fedha (MFIs) zinazolenga…
Chalamila aongoza kikao baraza la biashara DSM
April 6, 2024
Chalamila aongoza kikao baraza la biashara DSM
DAR ES SALAAM: MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila ameongoza baraza la biashara Mkoa wa Dar es…
Seti ya kwanza treni ya umeme yawasili Dar
April 3, 2024
Seti ya kwanza treni ya umeme yawasili Dar
DAR ES SALAAM; SERIKALI imepokea seti ya kwanza ya treni ya umeme ya ‘Electric multiple unit’ (EMU) yenye vichwa vitano…
Serikali yaahidi raha wazalishaji wa ndani
April 2, 2024
Serikali yaahidi raha wazalishaji wa ndani
DAR ES SALAAM; SERIKALI imesema itaendelea kuwalea wazalishaji wawekezaji na wazalishaji wa ndani ya nchi, ili waweze kukuza mitaji yao…
ICRA yajivunia kutambulika na BoT
April 2, 2024
ICRA yajivunia kutambulika na BoT
DAR ES SALAAM; WAKALA wa Ukadiriaji (ICRA), imesema inajivunia kuidhinishwa kwake kama wakala wa kwanza wa kutathmini mikopo Afrika Mashariki…