Uchumi

BoT yatahadharisha wanaoshikilia dola

ARUSHA: Banki Kuu ya Tanzania (BoT) imetoa tahadhari kwa raia wanaoshikilia pesa za kigeni hususani dola ya Marekani kuwa wapo…

Soma Zaidi »

Zitto atahadharisha utitiri kampuni za hisa serikalini

ARUSHA: KIONGOZI wa Chama cha ACT – Wazalendo Zitto Kabwe ametahadharisha kasi ya baadhi ya Wizara kuunda kampuni kusimamia hisa…

Soma Zaidi »

TASAC yaboresha kanuni kuongeza ufanisi

SHIRIKA la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC),  limesikia kilio cha wadau wa sekta ya usafiri kwa njia ya maji kwa…

Soma Zaidi »

Stendi ya Makumbusho haitahamishwa

MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam ,Albert Chalamila amesema stendi ya Makumbusho haitahama kwenda stendi mpya ya Mwenge badala…

Soma Zaidi »

Chalamila ataka mabadiliko soko la samaki Feri

MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam Albert Chalamila amemtaka Meneja wa Soko la Feri Denis Mrema kuacha kufanya kazi…

Soma Zaidi »

Wadaiwa sugu NHC kutokopesheka popote

SHIRIKA la nyumba la Taifa (NHC) limeingia makubaliano na waratibu wa taarifa sahihi za waombaji wa mikopo ‘CREDIT INFO BUREAU’ ili kupeleka…

Soma Zaidi »

Rais Samia kushuhudia viongozi Taasisi za Umma wakiteta

DAR ES SALAAM: Rais Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuzindua Mkutano wa Viongozi wa Taasisi na Mashirika ya Umma unaotarajiwa kufanyika…

Soma Zaidi »

Tanzania yasaini mkopo wa Sh bilioni 70 Abu Dhabi

U.A.E, Abu Dhabi: Tanzania imetia saini mkopo wenye masharti nafuu wa Sh bilioni 69.9 (dola milioni 30) na Mfuko wa…

Soma Zaidi »

Sheria kurekebishwa kuongeza viwango bandari

DAR ES SALAAM: KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Utawala, Katiba na Sheria imepanga kupokea maoni ya wadau kuhusu Muswada…

Soma Zaidi »

Serikali yajizatiti utafiti, umwagiliaji kuinua kilimo

NANENANE ni Sikukuu ya Wakulima nchini. Inahusisha pia sekta ya ufugaji na uvuvi ikiwa na hadhi ya Maonesho ya Kimataifa…

Soma Zaidi »
Back to top button