Uchumi

‘Tuzungumze hali halisi katika uwekezaji’

VIONGOZI wa serikali pamoja na wanasiasa nchini wametakiwa kuzungumza uhalisia wa hali halisi katika uwekezaji ili kutafuta suluhisho katika eneo…

Soma Zaidi »

ANAWEZA: Programu ya kuwawezesha wanawake yazinduliwa

WAZIRI wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Dk Dorothy Gwajima amezindua Programu ya Jinsia ‘Anaweza’ itakayowawezesha wanawake…

Soma Zaidi »

Meli yapeleka dawa za mikorosho Mtwara

MELI ya Sea Ruby imetia nanga katika Bandari ya Mtwara kwa ajili ya kushusha salpha kwa ajili ya kupulizia mikorosho…

Soma Zaidi »

‘Boresheni huduma za simu kusaidia utalii’

MKUU wa Wilaya ya Arusha, Felician Mtahengerwa ameiomba Kampuni ya simu ya Vodacom kuboresha huduma zake, ikiwemo kutumia muda mfupi…

Soma Zaidi »

‘Toeni mapendekezo kutatua changamoto ya ajira’

SERIKALI kupitia wizara ya Elimu, Sayansi na Teknologia inaendelea kutekeleza Mradi wa Elimu ya Juu kwa Mageuzi ya Kiuchumi (HEET)…

Soma Zaidi »

Swissport yajivunia faida mwaka 2022

MKURUGENZI Mkuu wa Kampuni ya Swissport Tanzania, Mrisho Yassin amesema licha ya changamoto ya ugonjwa wa Uviko-19, bado kampuni hiyo…

Soma Zaidi »

‘Bima sio kwa matajiri tu’

WANANCHI wengi hawana uelewa kuhusu masuala ya bima kwa kufikiria kuwa ipo kwa ajili ya matajiri pekee tofauti na uhalisia…

Soma Zaidi »

Sh trilioni 6 zanufaisha wajasiriamali milioni 8

KIASI cha Sh trilioni 6.1 zimetolewa mkopo na ruzuku kwa wajasirimali milioni 8.6 ambao wameimarisha shughuli zao za biashara na…

Soma Zaidi »

Maandalizi Maonesho ya 47 ya Sabasaba yaanza

MAANDALIZI ya Maonesho ya 47 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam maarufu kama Sabasaba yameanza kwani hadi sasa…

Soma Zaidi »

Wafanyabiashara washauriwa kuweka nembo

Soma Zaidi »
Back to top button