Uchumi

Maonesho Fahari ya Geita yaiva

TAKRIBANI wajasiriamali 260 pamoja na wadau 56 wanatarajiwa kushiriki maonesho ya biashara ya Fahari ya Geita yanayofanyika kwa awamu ya…

Soma Zaidi »

RIPOTI MAALUM: Majeneza yatumika kuingiza bidhaa za magendo

WAKATI Serikali ipo kwenye mchakato wa kujenga Gati katika bandari ya Mbweni, uchunguzi umebaini kuwa wafanyabiashara wanaokwepa kodi wanatumia majeneza…

Soma Zaidi »

Kamati kutatua kero za wafanyabiashara yaundwa

WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa ameunda Kamati ya watu 14 kushughulikia kero ya wafanyabiashara Kariakoo huku akiagiza kusitisha kanuni ya tozo…

Soma Zaidi »

Wafanyabiashara wamchongea Mwigulu, Kijaji

WAFANYABISHARA wa Kariakoo wamemchongea Waziri wa Viwanda na  Biashara, Ashantu Kijaji na Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba kuwa ndio chanzo…

Soma Zaidi »

NBC yakabidhi gawio la bilioni 6/- serikalini

Serikali imepokea kiasi cha Shilingi  bilioni sita kutoka Benki ya Taifa ya Biashara (NBC). Kiasi hicho ni sehemu ya gawio…

Soma Zaidi »

Tukadange?

MFANYABIASHARA maarufu wa vipodozi soko la Kariakoo, anayefahamika kwa jina la Sinyagile ‘Sinyaa’ amedai kuwa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA)…

Soma Zaidi »

‘Kuna watu wanafaidika mgomo Kariakoo’

MWENYEKITI wa wafanyabiashara Karikaoo, Martin Mbwana amesema mgomo unaoendelea sasa unatokana na ushawishi wa kikundi cha watu wachache wenye maslahi…

Soma Zaidi »

TRA Kigoma yahamasisha umuhimu wa risiti

Mamlaka ya mapato Tanzania (TRA) Mkoani Kigoma, imeeleza licha ya utoaji wa elimu ya mlipa kodi bado suala hilo limeendelea…

Soma Zaidi »

Wafanyabiashara Kariakoo wakubali kufungua maduka

BAADA ya agizo la Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa la kuwataka wafanyabiashara wa soko la Kariakoo kufungua maduka, hatimaye wafanyabiashara hao…

Soma Zaidi »

Dk Mpango kuanza ziara Arusha

MAKAMU wa Rais, Dk Philip Mpango kesho anatarajiwa kuanza ziara ya siku nne mkoani Arusha, ikiwemo kuweka jiwe la msingi…

Soma Zaidi »
Back to top button