Uchumi

Tigo, Samsung wafanya jambo magulio ya simu

MAGULIO ya simu yametoa ahuweni kwa wananchi ambao wamenunua simu kwa kulipia kidogo kdiogo kupitia program maalum iliyowekwa na Samsung…

Soma Zaidi »

Serikali yataka TRA kuheshimu sheria

NAIBU Waziri wa Fedha na Mipango, Hamad Hassan Chande, ameitaka Mamlaka ya Mapato nchini (TRA) kuheshimu sheria ya kodi na…

Soma Zaidi »

Mchango sekta ya madini wapaa

WAZIRI wa Madini, Dk Doto Biteko amesema mchango wa sekta ya madini unazidi kuongezeka na hadi mwaka 2025 wanatarajia kuvuka…

Soma Zaidi »

Samia: Tanzania ni tajiri wa madini

RAIS Samia Suluhu Hassan amesema Tanzania ina utajiri wa madini hivyo anataka umakini kuchagua washirika wa kuvuna fursa ya utajiri…

Soma Zaidi »

Mwekezaji Singida alia na mgogoro uliodumu miaka 28

MWEKEZAJI mzawa Leonard Suih, aliyejenga majengo ya biashara ya kitega uchumi yenye thamani ya Shilingi milioni 700 mkoani Singida, amemuomba…

Soma Zaidi »

Serikali yapewa ushari kuepuka hasara ATCL

WACHAMBUZI wa masuala ya uchumi wameishauri serikali itoe upendeleo maalumu kwa Kampuni ya Ndege Tanzania (ATCL) ili kuiongezea mapato na…

Soma Zaidi »

Wadau wataka 10% za halmashauri zipelekwe benki

WADAU wa uchumi na jamii wameishauri serikali baada ya kusitisha utoaji mikopo ya vikundi vya wanawake, vijana na watu wenye…

Soma Zaidi »

Uchumi wapaa, pato lafikia Sh trilioni 200

TAKWIMU mpya za Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) zinaonesha kuwa Pato la Taifa la Tanzania (GDP) kwa bei ya…

Soma Zaidi »

TAFIRI yapewa msaada vifaa vya utafiti

SERIKALI ya Tanzania imepokea msaada wa vifaa vya utafiti wa maji baridi katika maziwa. Vifaa hivyo vyenye thamani ya dola…

Soma Zaidi »

Benki ya Dunia yaisifu Tanzania usimamizi uchumi

BENKI ya Dunia imeipongeza Tanzania kwa usimamizi mzuri wa uchumi na utekelezaji wa miradi ya maendeleo inayopata fedha kutoka kwenye…

Soma Zaidi »
Back to top button