Uchumi

TAA yatangaza mikakati ndege zitue Dodoma usiku

MAMLAKA ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA) imesema Kiwanja cha Ndege Dodoma kitaanza kutoa huduma za ndege kuruka na kutua…

Soma Zaidi »

Mabasi yaruhusiwa kuanza safari saa tisa usiku

MAMLAKA ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA) imeruhusu mabasi ya mikoani yaanze safari saa tisa usiku. Latra imeagiza wamiliki wa mabasi…

Soma Zaidi »

RC Dar atoa maelekezo kusaidia wanawake

MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam  Amos Makalla, amesema wanawake wana kazi nyingi wanazofanya hivyo  kuna haja ya kuwa…

Soma Zaidi »

TAKUKURU kufuatilia rushwa kwenye tumbaku

MKUU wa Mkoa wa Katavi, Mwanamvua Mrindoko, amemuagiza Kamanda wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Tushwa (TAKUKURU) mkoani humo…

Soma Zaidi »

Sh bil 51 kunusuru kiwanda cha kahawa

UONGOZI wa kiwanda cha kusaga na kukoboa kahawa ya unga TANICA umewasilisha maombi ya kupata  mkopo wa riba nafuu Sh…

Soma Zaidi »

Mashirika viwango EAC yaja kivingine

MASHIRIKA ya viwango vya ubora wa bidhaa kutoka nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), yamejipanga kuhakikisha masuala ya bidhaa…

Soma Zaidi »

Hotuba ya Samia yagusa wengi

WACHUMI wametaja mambo kadhaa wanayoamini yanampa Rais Samia Suluhu Hassan uhakika wa kutekeleza ahadi ya kuboresha zaidi maslahi ya wafanyakazi.…

Soma Zaidi »

Wachumi wataja sababu Samia kuboresha maslahi

WACHUMI wametaja mambo kadhaa wanayoamini yanampa Rais Samia Suluhu Hassan uhakika wa kutekeleza ahadi ya kuboresha zaidi maslahi ya wafanyakazi.…

Soma Zaidi »

‘Serikali inaunga mkono uwekezaji uchumi wa buluu’

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk Hussein Mwinyi amesema serikali inaunga mkono uwekezaji katika maeneo ya…

Soma Zaidi »

Tanzania, Rwanda kukuza biashara

TANZANIA na Rwanda zimekubaliana kushirikiana katika maeneo kadhaa ikiwemo kukuza biashara baina ya nchi hizo hasa baada ya kubainika kuwa…

Soma Zaidi »
Back to top button